Miss Halima
Senior Member
- Aug 4, 2026
- 198
- 446
Meneja Habari na Mawasiliano wa Simba Sc, Ahmed Ally ametanabaisha kwamba siku ya Simba (Simba Day) Jumamosi Agosti 8, 2026 ataingia Uwanjani kwa namna ya tofauti ambapo ataingia kwa kupaa na ungo.
Nili fanya maamuzi mabaya sana kushabikia simbaUngo FC.
Karibu Yanga.Nili fanya maamuzi mabaya sana kushabikia simba
Nimekaribia mkuuKaribu Yanga.
Uko wangekufundisha tabia mbaya ya kunya hovyo vichakani.
Yanga kashatoa jezi, ila ni mbayaa.Aisee hii ni hatari hongera mtani simba na yanga bado hajatoa jezi mpka leo
Sijaona aisee wataivaa wenyeweYanga kashatoa jezi, ila ni mbayaa.
😂😂😂
Ila jezi ile ya kijani ni Super sana aiseeYanga kashatoa jezi, ila ni mbayaa.
😂😂😂
Mimi pia nawaza kufanya hivyoMimi kuanzia leo nashabikia yanga
Simba ni kikundi cha ngoma
Kuingia na ungo atakuwa amekosea nini au kumkosea nani ?Hii imezidi sasa hata kama ni promotion kuelekea simba day ila hapa ahmed anazidisha tambozi
Umeioona? DaahYanga kashatoa jezi, ila ni mbayaa.
😂😂😂