Ahmed Ally; nitaingia na ungo uwanjani

Ahmed Ally; nitaingia na ungo uwanjani

Miss Halima

Senior Member
Joined
Aug 4, 2026
Posts
198
Reaction score
446
Meneja Habari na Mawasiliano wa Simba Sc, Ahmed Ally ametanabaisha kwamba siku ya Simba (Simba Day) Jumamosi Agosti 8, 2026 ataingia Uwanjani kwa namna ya tofauti ambapo ataingia kwa kupaa na ungo.

 
Back
Top Bottom