Recent content by danfodio

  1. danfodio

    Kwanini Benki ya Tanzania comecial bank (TCB) mpaka sasa hawajatoa mshahara wa mwezi Agosti?

    Kiongozi pole Sana kumbe Hawa watu wanakutesa Sana aiseee. Wahame tu !!!
  2. danfodio

    Tanzania commercial Bank jitafakarini

    Pole Sana mkuu. Dah ingekuwa mm ningempiga huyo meneja[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
  3. danfodio

    Mkurugenzi wa Jiji la Mwanza kwanini hutaki kuwalipa watumishi pesa yao ya likizo June 2023?

    Amani ya bwana Mungu Mwenyezi iwe nanyi enyi ndugu zangu wa jf. Naomba niingie moja kwa moja kwenye mada tajwa hapo juu. Mkurugenzi wa jiji la Mwanza kwa nini hutaki kulipa pesa ya likizo kwa watumishi ambao walitakiwa kulipwa toka Juni 2023? Watumishi woote waliotakiwa kwenda likizo mwezi...
  4. danfodio

    Tanzania commecial bank tawi la Pamba Nyamagana Mwanza mna tatizo gani kwenye kutoa mikopo?

    Habari ndugu wana JF. Naomba niingie moja kwa moja kwenye mada. Ni kwamba katika bank ya Tanzania commecial bank zamani ikiitwa Posta bank tawi la Pamba Nyamagana kumekuwa na ucheleweshaji wa kutoa mikopo kwa watumishi na wastaafu wanaomba mkopo kupitia bank hio kwa tawi la Pamba lililopo...
  5. danfodio

    Balozi Dkt. Slaa atoa somo

    Anayoongea ni kweli lakini je ameshakaa na mkuu wa nchi na kujadiliana haya alioongea? Kwani shida ipo wapi??? Mm uelewa wng ni kuwa mkuu wa nchi ndio mwenye tatzo kwa nn hataki kujadiliana na viongozi wngne wa upinzani??
  6. danfodio

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Unajua kanji alinila ile mbaya. Nikawa bankrupt kabisaa, nikajiazima pesa we jana kaingia kingi hapa natakiwa hio pesa kabla halijabumbuluka!!!!
  7. danfodio

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Hapo inakuwaje sasa mkuu?
  8. danfodio

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Wakuu hivi hawa betpawa wana shida gani? Maana ni zaid ya sa moja nimetoa pesa but pesa haijafika m-pesa
  9. danfodio

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Habari ndg walim. Njoo mwanza jiji (nyamagana) nije Dar es salaam wilaya yyte. Idara msingi.
  10. danfodio

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Nami namtafuta ile mbaya!!!
  11. danfodio

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Hbr? Njoo mwanza jiji (Nyamagana) nije DSM wilaya yoyote. Idara msingi
  12. danfodio

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Njoo mwnza jiji (Nyamagana) nije ubungo
  13. danfodio

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Mkuu nami nisaidie ktk basket
  14. danfodio

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Mkuu naomba nami uwe unanipa tips.
  15. danfodio

    Salamu kwa vijana wadogo wenye vipara (ualaza)

    Mm nilishajikubali zanani. Yaani kiukweli usiponyoa mtu akikuangalia kutokea kwa nyuma utafikit kibabu!!!
Back
Top Bottom