Amani ya bwana Mungu Mwenyezi iwe nanyi enyi ndugu zangu wa jf.
Naomba niingie moja kwa moja kwenye mada tajwa hapo juu.
Mkurugenzi wa jiji la Mwanza kwa nini hutaki kulipa pesa ya likizo kwa watumishi ambao walitakiwa kulipwa toka Juni 2023?
Watumishi woote waliotakiwa kwenda likizo mwezi...
Habari ndugu wana JF.
Naomba niingie moja kwa moja kwenye mada.
Ni kwamba katika bank ya Tanzania commecial bank zamani ikiitwa Posta bank tawi la Pamba Nyamagana kumekuwa na ucheleweshaji wa kutoa mikopo kwa watumishi na wastaafu wanaomba mkopo kupitia bank hio kwa tawi la Pamba lililopo...
Anayoongea ni kweli lakini je ameshakaa na mkuu wa nchi na kujadiliana haya alioongea? Kwani shida ipo wapi??? Mm uelewa wng ni kuwa mkuu wa nchi ndio mwenye tatzo kwa nn hataki kujadiliana na viongozi wngne wa upinzani??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.