Mimi mwenyewe Pugu boy, hakuna sehemu kama hiyo Pugu, siyo kule Kanisani (Roma), wala karibu na Dining hall (uwanja wa Volley ball), hakuna dirisha duara zenye hizo structures.
Ama kwa hakika, ni hali ya kutia moyo na hali ya kizalendo inaonekana katika maeneo ya Kigamboni DSM kuhusiana na suala zima la usafi.
Hapa maeneo yetu, toka jana ni ni mshike mshike, viongozi wa mitaa wanaishambulia mitaa kwa hamasa na kuhimiza usafi, hali ya moshi moshi utokanao na kuchoma...
Hashimu Rungwe:nitasambaza maji kwa kutumia ndege (helkopta)
Lowasa:elimu bure hadi chuo kikuu
Magufuli:elimu bure hadi kidato cha nne.
Karibuni, tuendelee...
Mhh? Episode 270! hapo unaweza kuta mhusika mkuu anazaliwa kunako episode ya 270,hawa akina Khatib ni chenga tupu.
Bro umeniweza mida hii nikajua nikitoka bata batani,nitakuta umeshusha mzigo! Haya bwana tunasubiri!
JF ni kama daladala kila mtu anaingia, mwenye akili zake, mwenye akili za kumtosha mwenyewe, wakurupukaji, mpaka mapunguani wamo! usikubali furaha yako iharibiwe na asiyejua maana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.