Uncle Ben akiwa Pugu Sekondari

Uncle Ben akiwa Pugu Sekondari

Rekebisha hapo. Sio kwamba walitukamata bali wametukamata hadi sasa hivi
Huo ni mtazomo wako mkuu, na ule ni mtazamo wangu.
Hakuna mbaya kila mtu akibaki na mtazamo wake, amani tu kiongozi.
 
Sio suala la mazoea,umeuliza swali nimekujibu!!
Humu hatupo kwa ajili ya kuzoeana,tupo kwa ajili ya kuanzisha mijadala na kuchangia hoja,suala la kuzoeana labda unalo wewe,Mimi sikujui hunijui sasa unaanzaje kuniambia hupendi mazoea na Mimi? Dada,bibi,baba,mama sijui mzee hebu jiangalie aisee!!
Na kama hataki basi awe anakaa kimya na si kuchagua wa kumjibu.
 
Nahisi ndiye huyo mrefu wa Kati..
 
Ahahaaaaaaaa, umenikumbusha picha yangu niko na gauni enzi hizo, nilipoiona tuu nikaichana on the spot. Sema kameraman alikuwa mzee la sivyo pangechimbika yaan
Hiyo njemba ndefu imevaa viatu vya kike.. ahahaha
Zamani Mimi nshavaa Hadi blauzi.
 
Habari sio hapa ni Pugu au sio Pugu, Habari ni huyu ni Mzee Mkapa
 
Nahis ni pale karibu na uwanja wa volleyball na dinning hole.. au huku upande wa kanisani
Mimi mwenyewe Pugu boy, hakuna sehemu kama hiyo Pugu, siyo kule Kanisani (Roma), wala karibu na Dining hall (uwanja wa Volley ball), hakuna dirisha duara zenye hizo structures.
 
Back
Top Bottom