Natamani hata asubuhi nikiamka nikutane na taarifa kwa vyombo vya habari,
Natamani taarifa hiyo ihusu mabadiliko katika baraza la mawaziri,
Natamani katika baraza jipya Mimi nisiwe mmoja wao tena,
Nibaki na nafasi niliyopewa na wananchi wangu,
Maana sina uwezo wa kuonyesha umahiri wangu...
Anaandika Mheshimiwa Antony Mavunde
Ufunguzi wa mafunzo ya Vijana juu ya stadi za kushona na kukata vitambaa kutumia teknolojia ya kisasa katika kiwanda cha Mazava Fabric Co.Ltd Morogoro leo ambapo takribani vijana 1000 watapatiwa mafunzo na kuajiriwa baadaye.
Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi,Vijana...
Falsafa ya ufadhili ya World vision ndivyo iko hivyo, fedha zinazopatikana kupitia watoto zinanufaisha jamii nzima akiwemo na mtoto pamoja na familia yake kupitia vitu kama shule, zahanati, maji na mambo mengine. Ni tofauti na mashirika mengine. So far shirika limefanya mambo makubwa mengi...
Nimefanya kazi katika shirika hili kwa muda wa miaka mitatu na nusu, naweza kukiri ya kwamba nimejifunza mengi sana na nimefaidika na mengi katika shirika hili. Sikuwahi kufikiria kwamba ipo siku moja ningekuja kuondoka World vision sababu nilipapenda sana.
Lakini dakika za mwisho, nilihisi...
Fuata link hii ili uweze kufahamu kuhusu falsafa, dhana na umuhimu wa mbio za Mwenge wa Uhuru.
THE GOVERNMENT OFFICIAL BLOG: MAKALA KUHUSU FALSAFA, DHANA NA UMUHIMU WA MBIO ZA MWENGE WA UHURU.
Mara nyingi nimekuwa nikisia watu katika nyanja tofauti wakitoa maneno yanayoashiria kukata tamaa na kundi flani la watu, kwa kisingizio kwamba hawataki kubadilika, hawaelewi, hawana mwamko. Mara zote hizo ni upande mmoja tu ambao unapata lawama.
Lakini, kuna shida kubwa ambayo tunajifanya kama...
Kuna kamata kamata inaendelea katika Jiji la Dar kwa kwa watumiaji wa boda boda ambao hawatumii Helment.
Polisi kwasasa wanakamata dereva na abiria kama wakiwakuta mmepanda piki piki bila kuvaa Helment.
Ukikamatwa kwa makosa mengine unaweza kutozwa faini barabarani lakini kwa hili la helmet...
Andika la ubunifu wa mradi ambao unafaida kwa jamii, ambao unatekeleza moja wapo ya malengo 17 ya maendeleo endelevu duniani. Wazo lako litapigiwa kura na watu mbali mbali kwa njia ya mtandao na watu mbali mbali ambapo washindi watatangazwa katika kilele cha mkutano wa wajasiriamali...
Baraza la uwezeshaji la taifa (NEEC) kwa kushirikiana na ILE wamezindua Ajira Yangu Business Plan Competition kwa Vijana wenye umri wa miaka 18-35. Maombi yanapokelewa kuanzia 18 April -09 Mei, 2016. Sambaza kwa Vijana. Kwa Maelezo zaidi tembelea
AJIRA YANGU BUSINESS PLAN COMPETITION |...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.