Recent content by daman

  1. daman

    Kwa utafiti wa Jarida La Forbes..wanaume wanaofanya Kazi Hizi Hupendwa zaidi na wanawake!

    Hii CEO kozi yake inatolewa chuo gani hapa bongo?
  2. daman

    Majina 400 ya Vijana waliofaulu Usahili wa TRA

    Kila la kheri, mkasaidie kukusanya trilion 17.
  3. daman

    TMA watoa taarifa juu ya mvua za masika zitakazoanza kunyesha mwezi Novemba hadi April Mwakani

    Huko ni mvua za vuli kwa sasa na utabiri wa mvua za vuli ulishatolewa kwa maeneo hayo.
  4. daman

    TMA watoa taarifa juu ya mvua za masika zitakazoanza kunyesha mwezi Novemba hadi April Mwakani

    Huko walishatoa mkuu nadhani mwezi uliopita. Ukiingia website yao utaukuta huo utabiri.
  5. daman

    TANESCO MEATU:Tumeshinda bila umeme,mnataka pia tulale gizani?

    Pole sana. Wenzako mtwara na lindi wiki sasa umeme ni tabu. Vumilieni tu.
  6. daman

    Jina la mtoto wa kike linaloanza na herufi "G"

    mkuu naona umeamua kuweka majina ya kibantu. ashindwe yeye tu kuchagua
  7. daman

    Za Noah zimeanza kugawiwa

    Kumbe siku hizi hiyo ni biashara nzuri. Hongera zao.
  8. daman

    Tujikumbishe baadhi ya sajili mbovu kuwahi kutokea kwenye Soka

    Balotel kwenda Liverpool
  9. daman

    Kumekucha, Philip Coutinho wa Liverpool awasilisha hati kwa uongozi wa Liverpool kutaka kuhama!

    Kaondoka Suarez, Sterling wamuache na huyu tu aondoke. ingawa ni mchezaji mzuri ila ndio mpira ulivyo kila mchezaji akifika level flani anataka new challenge.
  10. daman

    Kutengua barua ya uchumba

    hivi una uhakika gani huyo mwingine utakayempata utakuwa na hisia nae milele. angalia wapi palipo na mapungufu na mrekebishe kwa kushirikiana. Pia jitahidi kuongeza spices kwenye mapenzi yenu outing, shopping, kupika na kufanya usafi pamoja, utani wa hapa na pale. Usisahau siku mojamoja kujitoa...
  11. daman

    Tanzia: Johanes Kanani apata ajali na kufariki

    Daah. Inasikitisha sana. M.Mungu amlaze mahala pema, na awape nguvu wafiwa.
  12. daman

    Tume ya uchaguzi yasitisha kutangaza matokeo kupisha uchunguzi wa fomu za 34A

    Licha ya changamoto zote, tuwaombee wamalize salama uchaguzi wao.
  13. daman

    Makosa 8 yanayofanywa na watu wa kipato cha kati kwenye matumizi ya fedha

    Ujumbe mzuri, ila utekelezaji wake kwa nyakati hizi na familia zenyewe extended inahitaji nguvu ya ziada.
  14. daman

    UTEUZI: Rais Magufuli amemteua Prof. William Anangisye kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu(HESLB)

    Na yeye pia ameshateuliwa, anakula shavu. Wakiisha tutaanzisha special course kuzalisha wengine.
Back
Top Bottom