Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,634
- 697,916
- Thread starter
- #41
Bwana mshana sasa mnataka dividends wakati kwenu same ni milima tu na tangawizi wajameeeni!!!!
Ukisema tu ..."Wastahili kuhimidiwa ewe uliyetukuka" paap elfu 50
Ukiinama kifudi fudi...paap laki 1.
Hata mm nasubir video nitoe maoni yangu..Hapa kuna kitu kilifanyika... ingepatikana video tungeweza kutoa maoni kikamilifu...
Weka video mkuu..
Huyo ameuza kadi yake ya upinzaniAsiyefanya kazi na asile, Huyu amefanya kazi gani? Hembu nijuzeni na mimi.
Huyo ameuza kadi yake ya upinzani
Hitaji la mada lilikuwa picha sio video mkuuWeka video mkuu..
Naamin kama uliweza kuchukua picha basi hata video unayo..
Weka tutoe maoni
Haujapimwa mkopo mpaka Leo?
Wamechukua vipimo vya jasho tuuHaujapimwa mkopo mpaka Leo?
Uhuru atosha