Tangu asubuhi wilaya nzima ya Meatu haina umeme.
Na kama haitoshi mpaka sasa hakuna dalili ya umeme kurudi.
Kuna mgao usio rasmi?
Mbona mnakata na kuwasha bila ya taarifa maalumu,na hii imekuwa ni kawaida.
Tumewakosea nini?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.