Wanajf, nimeshangazwa na taarifa zilizotolewa na bosi wa Jeshi la Polisi SA kuhusu takwimu za 'murder' . It is shocking especially considering that nchi ina watu mil 52. Kwa muhtasari tu:
Katika miaka sita iliyopita, murder zilizotokea ni 16,259, wastani wa mauaji 45 kwa siku.
Ripoti inasema...