Utendaji mbovu wa security JNIA

Utendaji mbovu wa security JNIA

asante sana kwa maelezo yakomazuri,ungalisoma ya kwangu kwa umakini zaidi nadhani ungalipata mwanga kidogo japokuwa sikueleza kwa undani zaidi na sina haja ya kufanya hivyo.labda niseme machache kidogo:

1.vimiminika vyote vinaruhusiwa kuingia navyo ndani ya ndege isipokuwa lazima ujazo wake uwe 100ml au kushuka chini.yaani kimiminika kisiwe zaidi ya 100ml,na pia visiwe zaidi ya kumi.yaan jumla ya ujazo isiwe zaidi ya 1000mls.yaani mls mia mia kila kimoja.hii haihusishi maji.ukinunua dutty free kimiminika chochote lazima kifungwe kwenye mfuko maalum unaoonyesha(plastic),uwe sealed na risiti iwemo ndani ya mfuko.

2.kwa uchache tu katika usalama wa anga kuna mambo makuu ma5 ambayo huzingatiwa:
a).unlawful seizure of an aircraft
b).sabotage of an aircraft on and off the airport
c).sabotage of an airport
d).sabotage of off airport facilities
e).terrorist attacks
matukio yote yanakuwa categorised katika vipengele tajwa hapo juu.kinachoangaliwa na wanausalama airport sio tu kuzuia ndege isitekwe au mtu asiingie na silaha au mabomu etc bali hata uwezekano wa mtu kumshambulia mtu mwingine aidha kwa silaha au acid au chochote kile kinacholeta madhara.sio kila kitu utakiruhusu kiwekwe kwenye check in luggage.imagine ndo kaweka chupa la acid bahati mbaya likamwagika unategemea nini?BRO,WITH SECURITY SOMETIMES YOU HAVE TO BE RADICAL,UKIFANYA KOSA MOJA KWA MTU MMOJA UMETEKETEZA ZAIDI YA ROHO 200 ZILIZOKO NDANI YA AIRBUS 340 YA EMIRATES.
nashukuru na wewe kwa maelezo yako na lugha ya uungwana, sasa kwa kifupi hao askari walikuwa na busara au walitenda haki kwa suala la huyo ndugu aliyekuwa na unga wa ugali au? maana kumlazimisha mtu kula unga ni kama kumzalilisha na kutumia madaraka vibaya ingekuwa ni ugali wenyewe ni ngewaelewa au chakula kinacholika. na zaidi ya hapo kumewekwa njia za kisasa cha kugundua kitu kibaya mfano unga/drugs kuna mbwa kama na kama walizani ni sumu au chemical yoyote basi weka kwenye check in luggage sije kuitumia vibaya
 
.........Nina hakika huyu dada ameonyesha kuwa yeye au ni mshiriki wa hayo mambo na anafanya hivyo ili kukomoa wasafiri baada ya serikali kuwaijia juu hawa maafisa kutokana na baadhi yao kushiriki kkuwasaidia wasafirishajoi wa madawa ya kulevya. She acted emotionally to express her anger on the accusations being leveled against them.........

......Kuna ukweli mwingi sana kwenye hiyo quote..........wapuuzi sana wale jamaa......Watanzania HATUJUI MISINGI CUSTOMER CARE/SERVICE....yaani tupo tupo tu......werevu wamo wapumbavu wamo......basi ili mradi siku inaendelea....

Kuna umuhimu wa kuazisha mtaala wa customer care/service kwenye shule/vyuo vyetu.............
 
Pole sana kwa yaliyo kukuta mkuu,kwa kawaida kuna mashine ya kutest unga,kulazimishwa kuonjeshwa haikuwa njia sahihi.

Ilikuwa ni kiasi cha kuchota unga kidogo na kuuingiza kwenye mashine na majibu yangepatikana hapo hapo na ungeruhusiwa kuendelea na safari. Au pia kuna vifaa vya kutestia viko kama tester za umeme(au kwa lugha rahisi screw drivers)nikiasi cha kukichukua na kukichoma kwenye mzigo unaoshukiwa na majibu yangepatikana there and then.

Lakini pia kaka kuna wakati ambapo inamlazimu mtu kulazimishwa kuonja alichokibeba ila ni katika situation zifuatazo:

1. Huwezi ukatest maji kwenye mashine na kugundua kama ni acid au any other burning chemical, ili uweze kuyatest ni lazima yaonjwe, na wa kuyaonja ni abiria mwenyewe kwani maji hayo ni ya kwake. Kama itakuwa ni kitu tofauti na maji lazima abiria atagoma kuyaonja.(hii inakuwa pale afisa mkaguzi anapokuwa na mashaka na kimiminika hicho)

2. Kuna baadhi ya watu hubeba dawa zao za kienyeji kwa ajili ya safari, hivyo basi huwezi kuzitest zaidi ya kuwaambia wazionje kama kweli ni dawa na wanazitumia, kama sio dawa za kunywa basi wanashauriwa waziweke kwenye check in luggages.

3. Endapo afisa mkaguzi kawa na mashaka na mzigo wa abiria,baada ya kuutest na kugundua kuwa sio drugs, lakini akawa na mashaka kuwa inaweza kuwa ni sumu ya aina yoyote ile ambayo inaweza kuleta madhara wakati wa safari basi atamuhitaji mwenye mzigo aonje ili kuthibitisha kuwa sio sumu. Endapo itakuwa sumu basi hata muhusika hataweza kuonja.

NB:
MARA NYINGI MASUALA YA USALAMA HAYANA FORMULAR, ILI ABIRIA AWEZE KUSAFIRI LAZIMA AFISA MKAGUZI ARIDHIKE KUWA ALIYEMKAGUA NI SALAMA KABLA HAJAMRUHUSU KUENDELEA NA SAFARI. NI SUALA LA MTU KUJIRIDHISHA.

hapo nilipoweka kolezo nimegundua uwezo wako ni mdogo sana aidha kwa makusudi au kutoelewa labda unatuletea falsafa za arts.Tangu lini acid au kemikali za viwandani zikajaribiwa ka taste(Ulimi), mimi kwa chemistry nilosoma hakuna hata siku moja ukatumika utaratibu unaotudanganya hapa.Kuna vipimo kama Ph test,kuna litmus paper na vitu vingine.
 
Yakuongea na bosi wao ni mambo ya ulaya..huku unaweza kujibiwa hayupo na ukaendelea kuchezeshwa rumba.

Mkuu ni kweli kabisaaa,ila endapo wanajuwa unajuwa unachoongea sidhani kama watakuzingua hata kidogo na ukionyesha msimamo mbona hawazingui.....

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
hapo nilipoweka kolezo nimegundua uwezo wako ni mdogo sana aidha kwa makusudi au kutoelewa labda unatuletea falsafa za arts.Tangu lini acid au kemikali za viwandani zikajaribiwa ka taste(Ulimi), mimi kwa chemistry nilosoma hakuna hata siku moja ukatumika utaratibu unaotudanganya hapa.Kuna vipimo kama Ph test,kuna litmus paper na vitu vingine.
Mkuu,

Nashukuru sana kwa kutambua kuwa uelewa wangu ni mdogo,nachoweza kukwambia tu ni kwamba,airport hawafanyi majaribio ya kutest acid kama unavyodhani,kinachofanyika ni kumfanya abiria athibitishe uhalali wa kile alichokibeba.bahati mbaya hakuna lab airport na hata kama ingekuwepo huo muda wa kutest vitu hivyo kama unavyofikiria usingekuwepo.

Falsafa ya airport iko hivi:
Mtu yeyote yule kabla ya kupita kwenye ukaguzi ni gaidi, anakuwa sio gaidi baada ya kukaguliwa na kuonekana yuko safi,hapo anakuwa abiria. Kama wewe ni mtumiaji wa usafiri wa anga nadhani unajua hali unayokuwa nayo unapokuwa angani, imagine uko futi 28000 au 35000 juu ya usawa wa bahari unatoka Dar unaenda Mwanza, mara yule jamaa unayemgongea mke wake akanyanyuka kwenye kiti chake akaja ulipokaa na kukuosha kwa tindikali. Unategemea utakuwa katikahali gani?

Nadhani kama huyu bwana angeambiwa aonje kidogo kimiminika alichobeba ilhali akijua ni tindikali hawezi kabisa kujaribu kuinywa, kwa kufanya hivyo ina maana asingeruhusiwa aidha kusafiri au kusafiri nayo. Hii ingekuokoa wewe, usalama wa abiria wenzako, ingeokoa muda kwani lazima mtafute sehemu ya dharura mtue ili upate matibabu etc etc.

Tambua kuwa kila kitu kinaweza kusafiri kwa ndege, iwe silaha, milipuko, tindikali etc etc lakini kwa utaratibu maalum.

MWISHO KABISA NAPENDA KUKWAMBIA KWAMBA, WITH SECURITY SOMETIMES YOU RUN OUT OF OPTIONS,YOU HAVE TO DO WHAT HAS TO BE DONE
 
nashukuru na wewe kwa maelezo yako na lugha ya uungwana, sasa kwa kifupi hao askari walikuwa na busara au walitenda haki kwa suala la huyo ndugu aliyekuwa na unga wa ugali au? maana kumlazimisha mtu kula unga ni kama kumzalilisha na kutumia madaraka vibaya ingekuwa ni ugali wenyewe ni ngewaelewa au chakula kinacholika. na zaidi ya hapo kumewekwa njia za kisasa cha kugundua kitu kibaya mfano unga/drugs kuna mbwa kama na kama walizani ni sumu au chemical yoyote basi weka kwenye check in luggage sije kuitumia vibaya

Naam nami nina concern inayoendana na hiyo...siku moja nlikua naenda nje kikazi baada ya kuchekiwa pale eti wakaanza kuniambia kwa siku saba unazoenda kikazi mbona begi lako ni dogo..mi nikawauliza kwani dunia nzima si inauzwa nguo au kwani nahama...hapa nikaendelea kujiuliza hivi hii nchi yetu tunafanya mambo kama tuko sayari ya mars au ni global standards!
 
Mkuu, training hapa kwetu ni ndogo sana. Watu wanapewa majukumu lakini kwa sababu corruption imewatawala wanaogopa hata kuuliza maswali pale ambapo hawajaelewa wajibu wao, wakiogopa kuwa labda wakiuliza maswali wanaweza wakanyanganywa ukanda.
 
=> First....ur not well familiar with AIRPORT SECURITY alerts.....or....that they screen everything.....

=> Usilete au kuongelea busara..au...uungwana kwa kigezo cha kutafuta sympathy ya watu hapa.....kuonyesha SECURITY WAMEKOSEA....and ur right....na kuapply past events kwamba mbona drugs
zilikuwa zinapita walikuwa wapi....!!!?? Siku...uongozi..vifaa....security sensitivity vyote VIMEBADILIKA.....

=> Kama ww ni mwelewa....WAKIKUSHUKU ...*suspect* hatua ya kwanza coz airport hakuna muda....ni KUTOA
USHIRIKIANO MKUBWA KWAO....hiyo ndio hatua kubwa...na UKIWA MKAIDI AU MBISHANI....unazidi kuongeza suspicions zaidi juu yako.....kumbuka hata drug dealers wanapita airport wako kama ww kwa kila kitu...sio wana kitu yofauti ukamwona.....NA WANA MBINU NYINGI MNO MNO....HATA HUO UNGA WAKO
UNAWEZA KUTA KATIKATI UMEWEKA DRUGS....who knows.....

=> Finally....hapa si mahali sahihi pa ku complains..unless unatafuta sympathy tu ya watu
ufurahi moyoni....BUT MM HAPA SIJAONA KABISA TATIZO LA SECURITY.....HIVI UKIAMBIWA UMEZE UNGA NANI UNGA KIJIKO KIMOJA....UNAKATAA NINI....??? KAMA UNA UHAKIKA WHY UNALETA ZAIDI MaSHAKA....?? TATIZO UNA ULEWA MDOGO MNO NA
SECURITY MEASURES ZA SEHEMU SENSITIVE KAMA AIRPORT ...hasa kwa nyakati hizi.....
...umesema unasafiri mbali...BUT U FAILED KABISA KUJUA/ kuonyesha uelewa JINSI HATA AIRPORTS ZA NJE walivyo na ukaguzi mkali mno....au Sababu ni
NYUMBANI UNA DEKA DEKA TU....mtoto kwa mama hakui....but huo muda hamna tena.....

=> kwa kisa chako HAKUNA UTENDAJI MBOVU HATA KIDOGO.....INSTEAD NI MSAFIRI MBOVU meaning ww...at JNIA mwenye uelewa mdogo kwa kisa hiki....who failed hata kujua security ikoje tena UMEBEBA UNGA....wengine wangekagua hadi katikati umeweka
nini.....una deka sana ww....
 
Back
Top Bottom