Wadau....nilikua na sugar mamy moja ivi mitaa ya tandika. Kusema ukweli likikua likinifadhili mambo mengi. Lakin kutokana na tabia yake ya mawivu ya kijinga na kujifanya kunibana...kila time niwe nalo..kiukweli nilishindwa kuvumilia. Hasa makelele yake...kila siku kesi..na ugomvi usioisha. Ikabidi nilikimbie na kuja huku Mtwara. Ndiko nnakofanyia kazi kwasasa. Sasa kila siku linanisumbua kwenye simu...kwamba nilirudishie vitu vyake lilivyokua linanipa...mfano...cheni...simu..nguo...etc
Limesema..na nukuu.." litanifanya mbaya..litanipasua"
Nisaidieni wadau...ushauri.
Wadau....nilikua na sugar mamy moja ivi mitaa ya tandika. Kusema ukweli likikua likinifadhili mambo mengi. Lakin kutokana na tabia yake ya mawivu ya kijinga na kujifanya kunibana...kila time niwe nalo..kiukweli nilishindwa kuvumilia. Hasa makelele yake...kila siku kesi..na ugomvi usioisha. Ikabidi nilikimbie na kuja huku Mtwara. Ndiko nnakofanyia kazi kwasasa. Sasa kila siku linanisumbua kwenye simu...kwamba nilirudishie vitu vyake lilivyokua linanipa...mfano...cheni...simu..nguo...etc
Limesema..na nukuu.." litanifanya mbaya..litanipasua"
Nisaidieni wadau...ushauri.
Likupasue kweli kweli.............
tena likufuate hata huko Ntwara!!!!!!!!!!!!!!
Likipiga tena weka loudspeaker tuliskie na sisi
:A S 576:Inasikitisha saana kuona hata sasa kijana mwenye uwezo wa kufanya kazi anaweka uhai wake, utu wake na ujana wake rehani kisha kufanya kiuno chake kuwa ajira. Kimsingi angekuwa ni mpenzio hukupaswa kurudisha kwani zawadi hazina refund. Lakini kwakuwa ulihongwa kwa matumizi ya kumridhisha huyo shuga mumy, na ukaamua kuvunja mkataba naye inabidi urudishe vitu vyake ili na yeye aweze kuvihonga kwa wenzio ambao wana tabia za kupenda kuwekwa mjini.
hivi wewe mbona muongo muongo?ni ushamba wa kutumia mitandao au ni nini?
Acha umburula wa kutujazia mithread ya kishenzy shenzy stori za kifala kifala
Wadau....nilikua na sugar mamy moja ivi mitaa ya tandika. Kusema ukweli likikua likinifadhili mambo mengi. Lakin kutokana na tabia yake ya mawivu ya kijinga na kujifanya kunibana...kila time niwe nalo..kiukweli nilishindwa kuvumilia. Hasa makelele yake...kila siku kesi..na ugomvi usioisha. Ikabidi nilikimbie na kuja huku Mtwara. Ndiko nnakofanyia kazi kwasasa. Sasa kila siku linanisumbua kwenye simu...kwamba nilirudishie vitu vyake lilivyokua linanipa...mfano...cheni...simu..nguo...etc
Limesema..na nukuu.." litanifanya mbaya..litanipasua"
Nisaidieni wadau...ushauri.