Unaweza sana tu,lkn inategemea eneo.tumia tofali za kuchoma&uchome mwenyewe.tofali elfu kumi ni laki 2 mtu akikufyatulia.gharama za kuni ni laki 1.matofali hayo yanajenga vyumba 4-5.kujenga chumba kimoja ni laki moja.kuchimba mashimo shimo kubwa laki3+kujengea laki 2na nusu,hujaomba heri.shimo...
Ni hivi,fundi anasema kuwa msingi sio lazima niweke zege,ameshauri kuwa msingi ukishachimbwa ashindilie mchanga halafu aanze kuweka tofali.Zege niweke kwenye linta.
Habari wana JF,
Naomba msaada kwa wazoefu&wataalamu wa ujenzi wa nyumba kuhusu msingi wa nyumba.Je ni kweli msingi wa nyumba ya matofali ya kuchoma huwa unajengwa kwa kushindilia mchanga tu na kupanga matofali bila zege na nyumba ikadumu?
Naomba msaada wenu&mbarikiwe.
CWT ni jipu,litumbuliwe sasa.Kabla walimu hawajapandishiwa mishahara,michango ya 2% ya mshahara inayokatwa na CWT kila mwezi itolewe .KAMA VITEGA UCHUMI WANAVYO, VINATOSHA.
Asante KICHAKORO.Mm kwa upande wangu nimeona wateja wangu wakubwa watakuwa ni mama ntilie ambao wanatumia mchele kupikia wali kila siku.Plan yangu ni kuwa niwe nawasambazia kwenye maeneo yao!Kwa kuwa ndio naanza,nitaanza kununua mchele kidogo ili niangalie hali ilivyo!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.