Mfalme Daudi III
Member
- Apr 7, 2016
- 55
- 31
Wadau, mafundi ujenzi, ninaomba msaada, ninayo ardhi kubwa sana, ila nimechoka kupanga na headaches za landlord. Nimejibana nikakuta nina milioni 6, je ninaweza kujenga ka nyumba kadogo
kenye atleast two bedrooms sebule ka jiko n.k. yaani niweze kujenga kumaliza kwa bei hiyo!?,
Asanteni!?
kenye atleast two bedrooms sebule ka jiko n.k. yaani niweze kujenga kumaliza kwa bei hiyo!?,
Asanteni!?