Recent content by Cynthia Chriss

  1. C

    Fainali za Bongo Star Search (Season 8, 2015)

    Da kweli madalali wana pesa hasa hawa wa azam.ndo maana magari yetu tunauza kwa hasara ivi kimo*2 atakuwa keshajenga kweli maana niliona ametuza kama thamani ya mifuko 20 ya cement if not more
  2. C

    Sikulaumu wewe, bali namwombea apumzike salama

    Kuna mtu kauliza ada shilingi ngapi kwa mwaka na me ningependa kujua ada ya mwaka sh ngapi
  3. C

    Angalizo: Kuna Wengi Wanamwabudu Shetani Wakidhani ni Mungu!. Jee Wewe Unajijua?, Jitambue!.

    Wao ngoja niende church nirudi kusoma maana huu ikatoliki kuna vitu vinanikwanza sana lakini ndo sitogemei kuhama
  4. C

    The MMU Free P Silent Killer, Collector of Experience With MMU Women! The Autobiography!

    Yani nimecheka nilinuia kuamka saa tisa nisome hii habari maana nlijua sitapata nafasi.scene tatu zimenifutahisha sana,shanga,heart broker na lara1 na shoste.Aisee lara kwa scripts hizi vocha halali yako kabisaa
  5. C

    Mauaji ya walinzi wa Bonite: Mengi atangaza milioni 50

    Hapana rafiki utakuwa tu hujanielewa tu. kuna vitu ukivijua kwa undani havitakusumbua na vikikukuta utajua njia ya kutatua kwa faida otherwise kwa waelewa wameelewa sory kwa wale walimisconstrue my opinion
  6. C

    Mauaji ya walinzi wa Bonite: Mengi atangaza milioni 50

    Hata wangekamatwa just now it won't make any difference or add any value to th e deceased and the survivor therefore i woud like to call upon Mr Mengi to distribute the so called "zawadi of 50m" to the survive family of the deceased na kuwaacha wauaje wakalipwe panapostahili after all hata...
  7. C

    Mke wangu ni pasua kichwa, ila siivunji hii ndoa. Nipeni mchango wa mawazo jamani

    Absolutely.yani unakuta sio yeye maskini wala hajitambui ni spirit iliyo ndani yake(jezebel spirit)ila kumbe bado kuna wanaume
  8. C

    Watanzania wengi hawachukui Stakabadhi (Risiti)

    nikienda kukata ticket ya ndege sipewi receipt,tanesco hawanipi receipt wanaprint tu nimelipa kwenye bill,muwasa nao cijawahi ona receipt yao,saloon ni moja tu nimewahi kupewa receipt,supermarket labda kubwa ndo napewa,maduka ya nguo nikidai receipt wananiuliza naenda wapi,watu wa parking ndo...
  9. C

    Nguvu ya shirika la Kijasusi la kanisa Katoliki duniani na Tanzania

    mada ni nzuri kwa sababu kuna hadithi mbalimbali sana kuhusu Roma na wajesuit sa watu waashaanza kuchanganya mbaazi .Hivi hata usipokula nguruwe ukawa mtukanaji,mwivi,muasherati mpiga ramli etc huyo unayemwabudu utamwona?
  10. C

    Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

    naomba kuuliza kama nitaeleweka gari ambayo model yake ni 240gl manake nini
  11. C

    Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

    Mara nyingi mawazo na mitizamo yetu katika maisha yanachangiwa na vitu vingi ikiwemo mazingira ya asili tulikozaliwa kwa hiyo kwa kauli hii sikulaumu nalaumu mazingira ya asili uliyotokea
  12. C

    Ifahamu Ndele, dawa ya kumpata msichana bila kumtongoza

    Eti halafu unajiita Amicus Curiae ?!
  13. C

    Wizi wa Bank ya CRDB Part II

    Mnamshambulia lakini crdb ni tatizo nimeona bank statement ya mwezi ulioisha imebaki elfu tatu na niliacha last elfu hamsini last year january ngoja nione watakata nini maana imeisha
  14. C

    Askofu Gwajima atunukiwa PhD (Doctor of Philosophy)

    Kweli bana.nina rafiki kamaliza phd chuo flani hapa hawaimbii watu halafu maboss wamemfanya reference yaani hawezi kuandika sentence mbili kwa kingereza kilichonyooka hizi elimu mola atunusuru
Back
Top Bottom