Recent content by cute junior

  1. C

    natafuta mrembo humu

    we we we we mi sio mzee
  2. C

    wakuu nisaidieni tatizo la demu wangu

    pole sana, na hongera kwa kuweza kumuacha!
  3. C

    Chakula cha usiku

    mangararimu
  4. C

    naomba ushauri

    daaah nashkuru sana sembe nitafwata ushauri wako ni mzuri mno. Once again thank u
  5. C

    Utumbo kujikunja kunasababishwa na nini?

    pia ukikaa na njaa mda mrefu utumbo unajikunja thus why ukila chakula baada ya kukaa kwa muda mrefu bila kula tumbo linauma kwa sababu chakula kinapoingia tena tumboni ule utumbo huwa unajikunjua tena
  6. C

    anaweza akawa anasema ukweli?

    sisi wanawake sijui tukoje yani mtu ana bf wake halafu anamwambie mtu mwingine i lov u na wet kiss juu!! Tutapona kweli? Shame on her! watch out tan 90 hapo kuna mawili anakupenda kweli au ni amekutamani tu
  7. C

    Ataka nimalizia haja zake loooo

    khaaaaaa!!!!! Una uvumilizu sana dada mi ningemtwanga ngumi fyuuu hana adabu kabisa
  8. C

    Jinsi ya kuachana na mpenzi

    Sasa dada ukimwacha ukaenda kwa mwingine ukakuta ndio bomu bomu kabisa utakuja na mada gani tena? Kaa nae mjaribu kusolve matatizo yenu mwambie a b c d sipendi if he realy lov u he wil understand but for case of breaking up mi sikushauri hata kidogo
  9. C

    Top 10 Disadvantages Of Marrying A Beautiful Woman...

    sasa wao waolewe na nani mkisema hivyo?? Just keep in ur mind that no one in this earth is perfect even u,
  10. C

    Mwanaume Mwenye Pesa Ndo Mpango Mzimaaaa!!!!!!!!!!!

    mwanaume mwenye upendo wa kweli ndio mpango mzima coz kama ni hela simtazitafuta???anaweza akawa na pesa lakini hakuna upendo ndio hapo ndoa inakuwa ndoano. Samahani wewe ni mchaga??
  11. C

    kupata mimba

    msamehe bure sio kosa lake
  12. C

    Je, mke wangu ananibaka?

    acha ujinga we kaka,unauliza kabisa will it help?? Inaelekea haumpendi mkeo sasa kwanini ulimuoa? Thats not good bro change ur mind and starts lov ur wife and u hav to respect her feeling!
  13. C

    Je, mke wangu ananibaka?

    hivi unaakili zote wewe kaka? Mkeo anakubaka!!!! Khaaaaaa God forgive him, listen bro as long as she is u'r wife u hav to give her what she wants otherwise utakuwa unamtesa dada wa watu. Mpe mkeo atakacho!
Back
Top Bottom