pia ukikaa na njaa mda mrefu utumbo unajikunja thus why ukila chakula baada ya kukaa kwa muda mrefu bila kula tumbo linauma kwa sababu chakula kinapoingia tena tumboni ule utumbo huwa unajikunjua tena
sisi wanawake sijui tukoje yani mtu ana bf wake halafu anamwambie mtu mwingine i lov u na wet kiss juu!! Tutapona kweli? Shame on her! watch out tan 90 hapo kuna mawili anakupenda kweli au ni amekutamani tu
Sasa dada ukimwacha ukaenda kwa mwingine ukakuta ndio bomu bomu kabisa utakuja na mada gani tena? Kaa nae mjaribu kusolve matatizo yenu mwambie a b c d sipendi if he realy lov u he wil understand but for case of breaking up mi sikushauri hata kidogo
mwanaume mwenye upendo wa kweli ndio mpango mzima coz kama ni hela simtazitafuta???anaweza akawa na pesa lakini hakuna upendo ndio hapo ndoa inakuwa ndoano. Samahani wewe ni mchaga??
acha ujinga we kaka,unauliza kabisa will it help?? Inaelekea haumpendi mkeo sasa kwanini ulimuoa? Thats not good bro change ur mind and starts lov ur wife and u hav to respect her feeling!
hivi unaakili zote wewe kaka? Mkeo anakubaka!!!! Khaaaaaa God forgive him, listen bro as long as she is u'r wife u hav to give her what she wants otherwise utakuwa unamtesa dada wa watu.
Mpe mkeo atakacho!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.