MESTOD
JF-Expert Member
- Nov 12, 2010
- 4,798
- 2,004
i like this. mimi huwa napenda mtu msafi, akila hajimwagii ama hachafui mdomo kwa vyakula. hakohoi hovyo mezani, akivua viatu anaweka pasafi na soksi hachanganyi na nguo nyingine chafu. dawa ya mswaki haibinyi bila mpango ama haipaki lotion na kuweka mfuniko pembeni. you know these stuffs ni ndogo but zina impact sana kwenye mahusiano. imagini unakuwa na gf kitana anachochania nywele kinabakizwa na nywele zilizokatika, na hakioshwi.................aaarrrrgggggg!! yaani
Umeongea sahihi, lakini kwenye kukohoa mezani, ni mambo ambayo hutokea. Staha ni mtu akiona kuna dalili ya kikohozi kuendelea asogee pembeni ya meza kidogo.