natafuta mrembo humu

natafuta mrembo humu

nimesema hivi kwa kumaanisha kwamba watu nane ni heavy weight sasa akibishana na watu wenye uzoefu mdogo heshima itashuka sina maana ya kumsimanga.watu nane ni katika kuwekana sawa tu mzee.

samahani nilikuwa nauliza huo uheavy weight wake upo ubongoni,misuli ya mikono au mdomoni?aliyeanza kumtukana mgeni ni yeye sasa huo ustaarabu uko wapi?huo uzoefu wake umemsaidia nini?cjaingia kutafuta umaarufu humu coz sitapata hata sent 5.bhaaaaaaas!
 
samahani nilikuwa nauliza huo uheavy weight wake upo ubongoni,misuli ya mikono au mdomoni?aliyeanza kumtukana mgeni ni yeye sasa huo ustaarabu uko wapi?huo uzoefu wake umemsaidia nini?cjaingia kutafuta umaarufu humu coz sitapata hata sent 5.bhaaaaaaas!
uwe unajua katikakubishana nae ameonekana kukushusha sana hasa kuzingatia ugeni wako humu mimi simkwezi ila humu ndani maneno dharau yamo sana utaambiwa wende face book humu,utatukanwa wakati mwingine,nilimaanisha uwepo wake muda mrefu humu.
 
Hili muvi la kihindi, na litaishia starring kafa kwenye maua......
 
uwe unajua katikakubishana nae ameonekana kukushusha sana hasa kuzingatia ugeni wako humu mimi simkwezi ila humu ndani maneno dharau yamo sana utaambiwa wende face book humu,utatukanwa wakati mwingine,nilimaanisha uwepo wake muda mrefu humu.

Asante sana kwa kunijulisha..thnx pamoja sana.
 
Sasa ningefanyaje jamani bandugu, nyumba tayari ina mpangaji..he he!! endelea kuwa mgumu, huwezi jua unaweza kukutana na atakayeusuuza moyo wako!!
No bana nimeamua kuwa mgumu baada ya kukukosa wewe, labda hapo atakapozaliwa mwingine kama wewe katika ile dunia nyingine tunayoelekea baada ya hii!.:smiling:
 
nenda ''badoo" mzazi wachumba kibao ni social networ ful kuchagua!! iko poa m ishanisaidia shida zangu ndogo ndogo!! humu umebugi men
 
Huku utakuwa umepotea njia, sisi tumewatafuta warembo humu mpaka mwisho wa yote tumeamua kuwa "Wagumu"!.

shauri yako! kama umekosa jisemee wewe mwenyewe! shampata mrembo humu; na sasa tumeishakamilisha mambo yote ili wiki ya funga mwaka fungua mwaka tuwe wote - 7 days! 25 Dec. to 2nd Jan!
 
Mtu ambaye anajua kabisa hajatukanwa anasema ametukanwa huyo anataka kutukanwa,lakini sitakutukana coz najua mwisho wa siku dhambi n zangu hayo ni majaribu tu unanipa!toka zako shetani!!!kwako Taamu.
 
Haya angalau umeonyeshwa njia kazi kwako!

huo ukarimu unaishia hatua gani , haf unataka maried au single , wapo wengi humu na wote wakarimu, kuna
Natalia, joyness, amu, ram, Nazjaz, AshaDii, BADILI TABIA, Purple, Ciello, BelindaJacob, Husninyo, Gunda66, cacico, ,,kongosho, Lily Flower, mwaJ, bibi.com
Zion Daughter, neggirl, Paloma, lara 1, Evelyn Salt, Dena Amsi

Kaunga, Nyamayao,binti.com, nivea, snowhite, King'asti, Madame B, Preta,

Hao ni to start with, u wil get mo as ugeni wako unavyozidi kuisha, kila la heri


Anayejiona sio mkarimu jamani ajitoe kwa sababu za msingi kwa kiswahili zinazoanzia na herufi Q na X,
n.b, angekua mwanamme mkarimu anatafutwa humu, mtafutaji angeshindwa mwenyewe kuchagua wapo wengi wakarimu humu hadi raha.
 
jamani eeeh nimesema nataka mrembo anielekeze mazingira ya humu sio mke sasa mnaniambia niende facebook huo ndo ukarimu gani?sasa mrembo wa facebook atanielekeza mazingira ya humu?tujipange wadau tunapotoa ushauri na tusiwe na mawazo negative..

mimi amu nimeamua kujitolea kukunyesha mazingira unataka tuanzie wapi??
Jukwaa la siasa naomba usiende maana tokea juzi mods wote wapo kule kuwapa watu ban.
Na chit chat ingia vizuri Zinduna hakawii kukusuta
 
Last edited by a moderator:
shauri yako! kama umekosa jisemee wewe mwenyewe! shampata mrembo humu; na sasa tumeishakamilisha mambo yote ili wiki ya funga mwaka fungua mwaka tuwe wote - 7 days! 25 Dec. to 2nd Jan!
nani huyo Baba V ana taarifa
 
Last edited by a moderator:
bibie upo .......ukweli upi sasa....

uongo ni huu Bulldog anadai humu hakuna warembo wakati ni uwongo
hajakutana na wazazi tena wana mapacha but wako very hot
wapi cacico uje umueleze huyu kijana
 
Last edited by a moderator:
No bana nimeamua kuwa mgumu baada ya kukukosa wewe, labda hapo atakapozaliwa mwingine kama wewe katika ile dunia nyingine tunayoelekea baada ya hii!.:smiling:
BelindaJacob msikilize mtoto wa mwanamke mwenzio
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom