Ataka nimalizia haja zake loooo

Ataka nimalizia haja zake loooo

I guess i am too old...because i have got nothing from here!..
 
yaani mtu anakuletea dudu lake unaishia kujikunyata? Walahii angeanza iupokea kichapo kwenye bus akaishia polisi

mamito upiganaji niliacha chuo mwaka wa pili na leo nilichoka sana maana ningemshushia mitusi balaaa.kuepusha nikaondoka
nilikuwa napigana ovyo
last time kuacha mpangaji wetu mkewe mkorofi ile kumkunja akazimia
kikao cha familia nikasemwa sana na nikikumbuka lulu yupo ndani ya nondo mpaka leoooo
mhhhhh
 
Dawa yao kutembea na pini tu, akikugusa unamtovuga nayo, dudu inanywea yenyewe!!!!!!!!

thankx mamito yaani nikitoka hapa naenda kununua dozen zima yaani umenipa bonge la idea
 
Ungemswakisha huko huko kwenye gari
 
Dushelele lingetema!!! Bora ulikimbia ungeloweshwa.
 
Habari za mchana.
Hivi mvua za dar sasa zaleta mambo jamani mtoto wa watu natoka posta naenda home nimepanda daladala la ubungo halijajaza sana mie nimekaa kwenye siti ya pembeni karibu na pale wanaposimama watu.
Nipo busy na simu maana ndo kiingiza mood na kitoa mood changu.
Kuja kushtuka naona kitu kigumu kinanichoma mkononi na jotojoto khaa kuangalia pembeni kijana kasimama yaani kajisogeza mpaka kahakikisha dushelele limenishika mkononi jamani nlichofanya nikajikunyata mkono na mimi mwenyewe ili asipate nafasi jamani mhh basi likitembea likikata kona ananisogelea kabisa mpaka ahakikishe ananigusa.
Fire watu wanashuka nafasi ipo mbele hataki kwenda kukaa wala kusogea pembeni.
Nilichokifanya nikahama siti nikahamia mbele maana ningemuacha angemaliza haja zake pale.
Nyie watu mjirekebishe!!!!

Ungempa makavu live pale pale.... :A S angry:
 
sijaamini haya maneno mchana, mchana mchana hahahh ingekua usiku ningekuelewa ina maana uliona wewe tu au unataka kusema alikuona wewe tu kwa gari,, au wewe ndo ulikua chaguo lake,,,, ,, , naona kama hadithi ya kutunga vile,, sory my opinion
 
umenikumbusha siku mama mmoja alitaka kuuma uume wa mbaba mmoja kwenye dala dala ya mbezi kivukoni. kisa baba alisimamisha dudu lake na kuanza kumsugua nalo mama sehemu za mkia wake. mama akahisi kuna kiatu kinagusa mkia wake kucheki ni dudu. alinyanyuka nalo mzima mzima na kumpa mapande ya maneno ya kihuni jibaba likanywea hadi likaahirisha kazini
 
Hahahahahaha lol! kuna mdada mmoja mtu wa Tanga tulikuwa tukifanya kazi pamoja. Bi dada huyu kaumbika jicho la haja, guu la haja na wowowo limetulia. Siku moja kwenye daladala wakati anakuja kazini asubuhi kuna mkaka alibanana naye kisawasawa huku dudu lake likiwa limegusa wowowo ya bi dada, wote kwenye dala dala ile walikuwa wamesimama. Kila bi dada akijaribu kujisogeza njemba naye anasogea mwisho bi dada akadhani basi limejaa kupita kiasi. Basi wakati anashuka pale posta mpya njemba ikamwambia yule bi dada "ahsante" bi dada kabaki anashangaa huyu ananipa ahsante ya nini sijamfanyia chochote simjui hanijui sasa hasante inatoka wapi?, kidogo ndio wanawake wenzie wanamwambia gauni yako huku kwenye wowowo imelowa inaonekana kama ni nanihii lol! ndio bi dada kuunganisha 1 na 1 na kupata tatu. Njemba iliweza kufika hadi mlingotini hahahahah sasa mpaka gauni ya bi dada kulowa chepechepe sijui alitoa dudu yake kabisa ili afaidi zaidi. Bi dada kwa bahati huwa kila siku lazima abebe kanga hivyo ikabidi kujifunga kanga ili kusitiri aibu yake...Chezeya daladala weye!!!

umenikumbusha siku mama mmoja alitaka kuuma uume wa mbaba mmoja kwenye dala dala ya mbezi kivukoni. kisa baba alisimamisha dudu lake na kuanza kumsugua nalo mama sehemu za mkia wake. mama akahisi kuna kiatu kinagusa mkia wake kucheki ni dudu. alinyanyuka nalo mzima mzima na kumpa mapande ya maneno ya kihuni jibaba likanywea hadi likaahirisha kazini
 
Habari za mchana.
Hivi mvua za dar sasa zaleta mambo jamani mtoto wa watu natoka posta naenda home nimepanda daladala la ubungo halijajaza sana mie nimekaa kwenye siti ya pembeni karibu na pale wanaposimama watu.
Nipo busy na simu maana ndo kiingiza mood na kitoa mood changu.
Kuja kushtuka naona kitu kigumu kinanichoma mkononi na jotojoto khaa kuangalia pembeni kijana kasimama yaani kajisogeza mpaka kahakikisha dushelele limenishika mkononi jamani nlichofanya nikajikunyata mkono na mimi mwenyewe ili asipate nafasi jamani mhh basi likitembea likikata kona ananisogelea kabisa mpaka ahakikishe ananigusa.
Fire watu wanashuka nafasi ipo mbele hataki kwenda kukaa wala kusogea pembeni.
Nilichokifanya nikahama siti nikahamia mbele maana ningemuacha angemaliza haja zake pale.
Nyie watu mjirekebishe!!!!

ulikkuwa umevaaje? alafu take it as compliment kuwa mwana kadata mpaka kitu kimesimama.
 
Dawa yao kutembea na pini tu, akikugusa unamtovuga nayo, dudu inanywea yenyewe!!!!!!!!

Hapanaaa usimshuri amtoge uboro kwa pini masikio nd'o yanatogwa lakini uboro uliosimama unaweza kutoa damu nyingi sana.
 
Habari za mchana.
Hivi mvua za dar sasa zaleta mambo jamani mtoto wa watu natoka posta naenda home nimepanda daladala la ubungo halijajaza sana mie nimekaa kwenye siti ya pembeni karibu na pale wanaposimama watu.
Nipo busy na simu maana ndo kiingiza mood na kitoa mood changu.
Kuja kushtuka naona kitu kigumu kinanichoma mkononi na jotojoto khaa kuangalia pembeni kijana kasimama yaani kajisogeza mpaka kahakikisha dushelele limenishika mkononi jamani nlichofanya nikajikunyata mkono na mimi mwenyewe ili asipate nafasi jamani mhh basi likitembea likikata kona ananisogelea kabisa mpaka ahakikishe ananigusa.
Fire watu wanashuka nafasi ipo mbele hataki kwenda kukaa wala kusogea pembeni.
Nilichokifanya nikahama siti nikahamia mbele maana ningemuacha angemaliza haja zake pale.
Nyie watu mjirekebishe!!!!
Hukumtendea haki jamani! kwani shida nn si angemalizana huko ndani kwa ndani peke yake? ungempa hata namba ya simu basi ili next time mtafutane
 
sijaamini haya maneno mchana, mchana mchana hahahh ingekua usiku ningekuelewa ina maana uliona wewe tu au unataka kusema alikuona wewe tu kwa gari,, au wewe ndo ulikua chaguo lake,,,, ,, , naona kama hadithi ya kutunga vile,, sory my opinion

si useme ulikuwa wewe tu
nyie wanaume mnashida sana
 
Hukumtendea haki jamani! kwani shida nn si angemalizana huko ndani kwa ndani peke yake? ungempa hata namba ya simu basi ili next time mtafutane

ahsante kwa kushiriki
 
Back
Top Bottom