Kwa hiyo ile sintokuelewa ya hayo mafuta ulitaka yeye afanyeje.
Mwache ajilizishe.
Mimi nakushauli zzk jaribu kuchanganua uhalisi wa jambo ambalo utalianzisha wewe.
Kila maamuzi ya wenzako ubunifu wa wenzako wewe ndio wewe ndio unayecorect error. Sio mbaya, lkn huwezi kujiita nguli wa hesabu...
Wazo zuri
Plani imetulia.
Nakuabalisha kitu ambacho ni muhimu sana :- mchanganuo wa hayo mahesabu yalitumia muda wa ziada wa akili yako, Yaani ulitulia na kuelekeza uwezo wako wa kufikiri.
Sasa
Ili hayo mahesabu yako yatimie kivitenda ongeza pesa laki 5 ya kibanda cha wewe kukaa shambani...
Pole sana dada.
Sidhani kitendo cha kutomsaliti au kuchepuka kina mahusiano na penzi lenu kipindi mnapokuwa wawili au kumzuia yeye kuto kuchepuka.
Kumbuka kabla ya mahuhusiano palikuwa na mvuto kwake kutoka kwako, Sasa jiulize are you still maintain ile kitu ambacho kilimfanya avutiwe kwako...
Mimi nataka unijuze kupanda ni nini?
Post nyingi sana nimeziona, hakuna hata aliyeonyesha nini kupenda.
Let me explain the meaning of love
Love is pain
Love is a commitment
Love is a self sacrifice.
Ukiwa na ujumlisho wa hivyo vyote kwa jumla unapata neno kupenda.
Nakupa maana yake...
Kha
Soft words kama unatongoza vile, akikubali kaliwa, akikataa hupungukiwi kitu.
Try again bro.
Hizi sio zama zile ukiwa na meza, karatasi, computer na ac basi maisha yanakwenda.
Sasa hivi tupo kwenye zama za weka niweke.
Nyie wacheni kuongea sana.
USA na washirika wake hawana history yeyote ya kushinda vita.
Kila sehemu wakigusa vita huwa haimaliziki.
Mrusi nchini syria ni mfano tu wa uwezo wake, imagine amepata ushindi dhidi ya watu ambao wanasaidiwa na nato +usa na kashinda.
Mkumbuke ni nani aliyempiga Hitler...
Mkuu comment yako, na profile picture vinaendana.
Huyo kuzungumzia gari wewe umeruka kwenye ndege, wakati wowote utarukia kwenye meli.
Jaribu kuangalia kwa kina hiki kitu. Resonance in relation to number of piston with a consideration of fuel consumption .
Kabla ya kukua kwa technology tulikuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.