Hivi Babu zetu kabla ya kuletewa dini za magharibi na Uarabuni walikuwa wanaabudu Mungu yupi? Na kwanini sisi ndo tuletewe dini kwanini sisi tusingepeleka kwao?
Japo naabudu katika dini niliyozaliwa nikaikuta lakini kuna vitu huwa vinanitatza sana.
Anayeelewa hapa anisaidie.
I wish diamond afanikiwe zaidi na wote wanaojituma kama yeye. Japo sitapata faida yoyote zaidi ya burudani kutokana na nymbo zake. Goodluck mtt wa Tandale
Hahahaaahaah nimecheka hadi baci,
My take, unapohljaribu kufanya description ya miguu ya mtu jaribu kuangalia mwili wake.
Unaanzaje kumwambia mtu ana toothipick wakati ye mwenyewe slim?
Haaaaahaah chako maliiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Misperception ni kitu kibaya sana nimetoa angalizo la kwamba yeyote anayeleta habari ya uzushi without evidences ashughulikiwe effectively regardless anatetea au ana critisize chama gani.
Wengi tupo JF kupata habari ya yanayojiri nyumbani so don't dare think that wote hapa tumetumwa na mabwana...
Mods ebu jitahidini kufanya kazi zenu, yani thread zinaletwa za uzushi uzushi mko kimya.
JF tena sio pakupatia habari zenye uhakika ni uongo uongo tu unaotungwa na watu wenye njaa kali.
regardless unatetea chama gani ukileta habari za uzushi inabidi ushughulikiwe.
Mods angalieni hili kama na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.