Tusimdhihaki Mungu kiasi hiki

Tusimdhihaki Mungu kiasi hiki

Rozari, Stickers, Kanzu, Joho n.k havimfanui mtu kuwa msafi hivyo huwezi kuhukumu kutokea vitu hivyo...

Mungu ninayemjua hutazama moyo wa mwanadamu na hupendezwa na moyo ule ulio msafi wenye kufanya ibada ipasayo
 
tusihukumu tusijehukmiwa.... kila mtu anamkufuru Mungu kwa namna yake... ila tuombe rehema tu
 
ukweli mtupu mkuu lkn kuna watu walishajiwekea kubisha watabisha na hili. mm ilikuwa inaniuma sana enzi hizo chuo wadada wanavaa baibui na kujifnya wao wasafi sana hata huwezi kushikana nao mikono lkn ukiwakuta mtaani wanakumbatiwa na vibabu .
 
Wewe mwenyewe mleta mada huwa unapost kwenye jamii photos picha za kina dada maziwa/matiti yakiwa wazi bila hata sindiria ili hali hali ukijua wanaume wengi watatamani,na unajua kila amwangaliaye mwanamke kwa kutamani ameshazini naye,huku na wewe ni muumini wa dini si ndiyo dhihaka yenyewe?,na mojawapo uliyoposti ile uliweka heading ..saa sita kasoro robo 5:45.


Ndoa na iheshimiwe na watu wote.Waebrania 13:4
 
Wewe mwenyewe mleta mada huwa unapost kwenye jamii photos picha za kina dada maziwa/matiti yakiwa wazi bila hata sindiria ili hali hali ukijua wanaume wengi watatamani,na unajua kila amwangaliaye mwanamke kwa kutamani ameshazini naye,huku na wewe ni muumini wa dini si ndiyo dhihaka yenyewe?,na mojawapo uliyoposti ile uliweka heading ..saa sita kasoro robo 5:45.


Ndoa na iheshimiwe na watu wote.Waebrania 13:4

Duu naona ile picha ilikuuma mno!!! Ila ile haikuwa porn picture wale ile kabila ndo uvaaji wao BTW sijawahi kuchanganya yamhusuyo Mungu na vitu vya kiza na kama nilishawahi basi ILITOKEA TUU
 
Duu naona ile picha ilikuuma mno!!! Ila ile haikuwa porn picture wale ile kabila ndo uvaaji wao BTW sijawahi kuchanganya yamhusuyo Mungu na vitu vya kiza na kama nilishawahi basi ILITOKEA TUU

Hapo ndipo unapochanganya giza na nuru neno linasema mwanamke avae mavazi ya kujisiri wewe unamwanika hata kama ni utamaduni wao,wakiwa kwao hakuna shida lakini ukimweka hapa unawafanya wengi wanajisike.

Ndoa na iheshimiwe na watu wote.Waebrania 13:4
 
Hapo ndipo unapochanganya giza na nuru neno linasema mwanamke avae mavazi ya kujisiri wewe unamwanika hata kama ni utamaduni wao,wakiwa kwao hakuna shida lakini ukimweka hapa unawafanya wengi wanajisike.

Ndoa na iheshimiwe na watu wote.Waebrania 13:4

Lakini ile haikuwa picha ya utupu naona una strong opinion kuhusu ile picha! Na hii habari ya ndoa kuheshimiwa kidogo inanitatiza kwa kuwa naona ni kama mada ndani ya mada
Hata hivyo nashukuru kwa mchango wako nimejifunza kitu
 
Naam, umenena vyema, laiti ungalikuwa hivi siku zote, dunia ingalikuwa njema zaidi.

Kwa maneno yako hayo unazidi kuniaminisha kuwa kuna Mungu mmoja tu. yule yule aliyewatuma Ibrahim, Mussa, Is'haq, Yaakoub, Yesu Kristo. Muhammad na wengine wengi kuamrisha mema na kukataza mabaya.
 
Naam, umenena vyema, laiti ungalikuwa hivi siku zote, dunia ingalikuwa njema zaidi.

Kwa maneno yako hayo unazidi kuniaminisha kuwa kuna Mungu mmoja tu. yule yule aliyewatuma Ibrahim, Mussa, Is'haq, Yaakoub, Yesu Kristo. Muhammad na wengine wengi kuamrisha mema na kukataza mabaya.

Amina FaizaFoxy ya huko siasani tuyaache tuu kama yalivyo ! Nimefarijika na upole wako leo
 
Ndio mjue kuwa hizo iman za kupokea hasa toka middle east ni ideas za wajanja walikaa na kutunga. ONCE YOU DIE EVERYTHING IS OVER ABOUT YOU! I STAND TO BE CORRECT!
 
Ndio mjue kuwa hizo iman za kupokea hasa toka middle east ni ideas za wajanja walikaa na kutunga. ONCE YOU DIE EVERYTHING IS OVER ABOUT YOU! I STAND TO BE CORRECT!

1407056439275.jpg
 
Ndio mjue kuwa hizo iman za kupokea hasa toka middle east ni ideas za wajanja walikaa na kutunga. ONCE YOU DIE EVERYTHING IS OVER ABOUT YOU! I STAND TO BE CORRECT!

wewe mbele ya MUUMBA ni sawa sawa na simu isiyo camera
your "yr phone is not supported for this spiritual application"
 
Dah... Kuna mahali pamenitouch screen mpaka nikavibrate...

Oooh Lord have mercy on me!
 
Hivi Babu zetu kabla ya kuletewa dini za magharibi na Uarabuni walikuwa wanaabudu Mungu yupi? Na kwanini sisi ndo tuletewe dini kwanini sisi tusingepeleka kwao?
Japo naabudu katika dini niliyozaliwa nikaikuta lakini kuna vitu huwa vinanitatza sana.
Anayeelewa hapa anisaidie.
 
Hivi kuangalia picha za ngono ni dhambi?
Mtu anajifunza staili ya kumgegeda mkewe ama kuchezea dushelele la mumewe,tena mnaangalia wote.
Mungu anabebwa moyoni na Rozari na Kanzu ama barakashia,umepitoka mtoa mada.
Stika haimbebi Mungu,ingekuwa hivyo basi wasomali wa alshabab na waafghanistan wangekuwa wa kwanza mbinguni,
Mungu anaangalia moyo.

Picha za ngono zinasaidia,mara nyengine kuna staili rahisi ya kugegeda mkeo hata kama anaendelea kupika,kudeki bila kusimama,utajulia wapi?
Kama mkeo yupo ofisini,ww umepata safari ya ghafla,unampitia ofisini si lazma muende gesti kwa kifo cha mende,kuna staili moja unampiga cha pembeni,hiyo ipo uchagani wacha kabisa.

Hapo hapo kwenye jugegedana popote..... Mungu ametuagiza kuwa na kiasi na kwa muda maalum na si ovyo ovyo tu kama kuku. 1Wakorintho 7 yawezekana unaijua ila nakushauri ukasome kwa kituo
 
na katika dhambi zote hizo bado Mungu anasamehe na tena wala hakumbuki makosa na zaid ya yote hugairi mabaya.

Mungu ni neema, amejaa huruma , si mwepesi wa hasira, ni Mungu wa rehema naye hughairi mabaya.

Tuseme nini basi? Tudumu katika dhambi ili neema izidi kuwa nyingi?.....Warumi 6 kaendelee
 
Back
Top Bottom