Kwani hiki kipindi cha ze komedi bado kipo..??!Ili kundi la kuchekesha mm naona halina jipya , ukiangalia wachejedhaji wengi wamenenepa hadi basi na Talent imepotea kabisa kwa sasa wamebaki FUTUHI tu, maoni yako maana nafikiri bado wana wazo la kutoka kwa kutegemea hii fan
Ili kundi la kuchekesha mm naona halina jipya , ukiangalia wachejedhaji wengi wamenenepa hadi basi na Talent imepotea kabisa kwa sasa wamebaki FUTUHI tu, maoni yako maana nafikiri bado wana wazo la kutoka kwa kutegemea hii fan
FUTUHI wanaelimisha, hawa machekeshaji ya ccm yamebaki kutukana tu
Futuhi wako vizuri.Hawa wengine Manji alishachukua nyota zao wamebaki historia na vitambi vyao
Hivi karibuni takribani mwaka huu wote hadi tulipo leo TBC1 na Komedi ya Masanja, Choti etc haina mvuto kabisa kwa watazamaji kiasi cha watu kukimbilia EATV kule kwa bambo ambao wanaonekana kuziba pengo la kifo cha mende cha komedi ya kinaMjuni.
Utafiti usio na gharama kubwa kwenye maeneo ya starehe wadau wamekuwa wakiomba sehemu za bar kuhamisha chanel kutoka TBC1 kwenda EATV ili kupata ujumbe wenye maudhui ya kuelemisha, burudani na vichekesho.
Ni dhahiri Masanja na wenzake ama wamekwisha au ndo uongozi wa TBC1 umeshindwa kuwasaidia inavyohitajika ili kuendelea kukalia usukani wa komedi TZ; Ni ama warudie kwenye fomu au tuwaage rasmi ktk fani hiyo na tuwakaribishe makundi yenye ujumbe na kuelimisha wakati ujumbe unafikishwa kwa kutoa burudani EATV/StarTV-Futuhi japo hawako serious sana na kazi pia.
Mlitulisha mua sasa ni wakati wa kutema makapi ya mua, hakuna utamu tena.
Ili kundi la kuchekesha mm naona halina jipya , ukiangalia wachejedhaji wengi wamenenepa hadi basi na Talent imepotea kabisa kwa sasa wamebaki FUTUHI tu, maoni yako maana nafikiri bado wana wazo la kutoka kwa kutegemea hii fan
futuhi ndio hamna kitu kabisa