Uturuki: Wanawake wapigwa marufuku kucheka hadharani

Uturuki: Wanawake wapigwa marufuku kucheka hadharani

Naam, mwanamke kujichekesha-chekesha hovyo hadharani inahusu nini?

Huyo waziri barabara kabisa. Na hilo la simu wala si uongo, wengi utawakuta wanaongea mambo ya kijinga-jinga tu.

Hizo ni sheria za dini au serikali?
 
Naam, mwanamke kujichekesha-chekesha hovyo hadharani inahusu nini?

Huyo waziri barabara kabisa. Na hilo la simu wala si uongo, wengi utawakuta wanaongea mambo ya kijinga-jinga tu.
50 : 50 na Beijing hakuna kitu wanaweza badilisha. mwanamke anatakiwa awe chini na kufuata maamuzi ya Mwanaume daima, si ndio mama?
 
Pia amesema hv "siku hizi maadili yameporomoka ,wanawake wanachekacheka hovyo hadharani jambo ambalo linanikera sana.Lazima tubadilike,turudi ktk misingi yetu".

Sidhani kama ni kweli hisia za uonevu sasa mtu akicheka unaumia nini hadi kukereka
 
Sidhani kama ni kweli hisia za uonevu sasa mtu akicheka unaumia nini hadi kukereka

Hayo ni maneno ya huyo waziri mkuu.Mwanamke akijisikia kucheka labda atafute chemba akachekee huko lkn sio hadharani.Mm mwenyewe naona ni uonevu tu kwani kucheka kunamwongezea mtu maisha marefu.
 
prs ulikuwa unabisha nini!? huyu hapa ni muislamu hasa na ni mwanamke.

Mkuu Remote Huo ni mtazamo wake..Na yuko sahihi ..kuna baadhi ya vicheko vinaudhi na vinakera..

Si umeona Faiza hajataja Uislam hapo.. Lakini watu wameona ameongelea Uislam..Sababu ni Muislam 🙂
 
Last edited by a moderator:
Hayo ni maneno ya huyo waziri mkuu.Mwanamke akijisikia kucheka labda atafute chemba akachekee huko lkn sio hadharani.Mm mwenyewe naona ni uonevu tu kwani kucheka kunamwongezea mtu maisha marefu.

Waziri kafilisika ki fikra huyo baada ya kutafta chanzo nini kinafanya mmomonyoko wa maadili kwenye jamii yeye anaishia kuonea wanawake
 
Ni mwendo wa kununa tu sasa. Hiyo inaitwa hata ukibanwa na kicheko subiri ukachekelee kwenu.
Huyo waziri kaishiwa sera kabisa.
 
huhuhuhuuuuuuuuuu huko ni uturuki bana lakin bongo yetu hii na uswahilini kwetu huku mtuache aisee
 
Mkuu hapa Uislam unahusika vipi?

Aliyetoa amri ni Sheikh?

Ni wapi ametamka kwa niaba ya Uislam?

Kama ni Eid hata wasiyo Waislam kama Mizengo pinda wametoa speech ..

prs wewe ni muislam?

Asilimia kubwa ya wananchi wa Uturuki ni Waislam, na ndiyo nchi inayoongoza kwa kuwa na waslam wengi kati ya mataifa ya Ulaya! Na sharia ndo karibia inachukua nafasi yake huko, huu ni mwanzo!!
 
  • Thanks
Reactions: prs
Back
Top Bottom