Starehe gharama dogo unataka kununua vogue wakati hela ya mafuta hauna... soma kwanza starehe utazikuta baadaye kwani upo chuoni kusoma sio kugegeda ngurudoto ww...
Kwani hamuoni hii mpaka sasa. Facts ya kwanza.. wanapata confidence kwa sababu watz wanaamini kwamba wanaweza kutokana na mazingira waliyokulia au wanayokaa kwa mfano wangapi humu wanaamini kwamba Mr Sugu au Zito Kabwe hawezi kuwa waziri mkuu zaidi ya January au Ridhiwani.. You see, confidence...
Hii mada ni nzito ila ukweli bado upo pale, kama angekuwa anataka kuimarisha jeshi la polisi kwanini hakununua yale magari mapema kabla ya uchaguzi kukaribia.. Kwenye hili amiri jeshi mstaafu ilinidi awaombe radhi watz wote kwani imeonyesha kwamba motive yake ilikuwa more on a personal interest...
Na pili kinachosababisha watu wengi kutokuwa na confidence ni kwamba wa-tz wanapenda kuangushana na kuwekana chini hata kama mtu anafanya kitu kizuri, anaweka jitihada au anajituma (tunaita bullying). Facts ya hii hapa inapatikana hapa hapa JF kwani kuna watu ambao wao ni natural wakosoaji...
Confidence ya mtu haipatikani kwa kusoma mkuu bali ni kutokana na mazingira yanayokuzunguka kuanzia mashuleni, majumbani na uhalisia wa mambo.. sasa kwa mfano umepata degree na kazi kwa kuvua chupi au kuonga pesa confidence itatokea wapi hapo au peponi? Umenikumbusha yule jamaa aliyesema...
Hivi naomba kuwaliza wadau wa humu JF, kuna watu uwa wana allergy na constructive criticism? Wote ni watu wazima na ni lazima tuelewe kwamba sometimes inabidi tu-agree kudis-agree kwani kila mtu ana uwezo wake wa kufikiri na namna yake anavyofikiria na ndio maana kuna wakati tunakuwa tunawaza na...
Habari za jioni ya leo,
Jamani wadau naomba maoni yenu kuhusiana na hii bidhaa ya king'amuzi kupitia internet (IPTv) cha Mag250. Je, kwa wale ambao mmewahi kukitumia king'amuzi hiki kupitia mitandao ya 3g na 4g vipi nguvu yake ya katika kustream video? Na je ni bora zaidi ya CCcam Decoders...
Habari za leo wadau..
Naomba kuuliza kama kuna ambaye anaweza au amewahi kuweza kupata Transponder ya Astra 2E (28.2 degrees east) kwenye dish lolote. Kama amewahi anaweza kunijulisha ni dish gani alilotumia au ni ukubwa upi na LNB ipi itafaa?
Asanteni sanaaa na nitashukuru na kuheshimu mawazo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.