Je, ni kweli kuwa vichaa wana jicho la tatu?

Je, ni kweli kuwa vichaa wana jicho la tatu?

Umepatia kweli kuniita hivyo kwa kuwa ni bonge la mpuuzi mimi nnakupuuza hayo maneno yako ya kishoga shoga.

Ntaendelea kukupa darsa la nyama ikoje kila unapoleta utumbo - kumbuka hilo.

Maskini wee pole ila kumbuka kila uamkapo usisahau nilichokuambia na iwe hivyo mpaka unakufa..hujui chochote zaidi ya kupakua mitandaoni hilo ndilo unaloweza...halafu sijui ni lini utaacha kujipendekeza kwangu?
 
Eheeeeeee,haya sasa mumeanza kutukanana tena wenyewe kwa wenyewe..........haya twende

Wee bado sana JF vingine vione kama vilivyo kumuita mtu mpuuzi mkubwa sio tusi bali ni sifa hasi
 
nakumbuka kulikuwa na kichaa mmoja mitaa ya sinza alikuwa akiitwa MABELO...sijui yupo wap sku hizi
 
Siku zote nikiona Maada tokea kwa mshana jr, huwa nazisoma kwa umakini sana na hata kuzirudia rudia, maana binafsi napenda kujua mambo mengi mengi humu duniani visivyoonekana na vinavyoonekana, maana nikitafakari ule msemo wa Mungu kaumba vyote vinavyoonekana na visivyoonekana, napatwa na mshawasha wa kutaka kujua visivyoonekana. Ki-ukweli mshana jr, huwa unanifumbua mengi sana, sema tu wachache hawakuelewi. Zaidi nafurahi unapojibu kila unaloulizwa, tena kwa ufasaha kabisa (kwa mtazamo wangu). Natamani sana kukuona, ila nishajiambia ipo tu siku nitakutafuta mshana jr.

Ahsante!

Elimu ni bahari ukiuruhusu ufahamu wako ujifunze mengi utajua mengi lakini mwisho wa siku ni jukumu lako kuangalia uchukue kipi na kuacha kipi ...ni muhimu sana
 
Mimi makwambia mizimu ni majini na maluhani ni majini na mganga wowote lazima awe naye ama atumie jini ili mambo yaende
Je unabishaa

Hapana sio waganga wote wanaotumia majini na nikwambie tu kwamba majini ni tofauti na Maruhani na mizimu
 
Hapana sio waganga wote wanaotumia majini na nikwambie tu kwamba majini ni tofauti na Maruhani na mizimu

Tatizo husemi kwa kilefu ruhani ni nini na mizimu ni nini ukiulizwa unasema hapa siyo shure kutoa maelezo mengi ukumbuke unapotoa mada ukubali maswari ili mada yako ieleweke na ikubalike sasa mtu anapokuuliza araf unajibu mkatomkato araf unazidi kubisha kitu sahihi nashindwa hta kukuelewesha

Ila kwa ufupi mizimu ipo duniani kote nchi zote unazozijua wewe tngu enzi na enzi ila tofauti ni utamaduni wa nchi hiyo yaan kila nchi ina utamaduni wake

Na kuhusu uganga huwezi kuendesha uganga bila jini na ili uwe mganga lazima uujue uchawi ama utumie jini na uchawi bila kushililikiana na jini ni vigumu
 
Sikiliza nikwambie kaka majini ni viumbe ambao wapo tngu enzi za adamu na mpk leo wapo na wengne enzi za manabii na mpk leo wapo so wanajua mengi kuliko sisi na mara nyingi sisi tafiti zetu ni za kumezesha kuadithiwa lkn wao enzi zote walikuepo na wanaujua ukweri wa dunia na ndo mana kuna majini wengne wanamuogopa mungu na kuna wengne wakisikia majina ya manabii huumia na majini wengi ukiachana na wale masheytwan
Wengi wao ni WAISLAM
 
Uchawi ni uwezo wa kufanya jambo au kitu ambacho kwa macho ya kawaida uwezi kuona au nguvu za kawaida huwezi kufanya
Mf:- kuluka angani kupenya kwenye ukuta uwezo wa kusafili kwa haraka kuingia ktk mwili wa mtu na mengne mengii

Na wenye nguvu au uwezo wa kufanya hayo mambo ktk sisi viumbe ni majini na malaika tu
 
Na tukija roho chafu ni nafsi za watu walokufa ili hari mungu ameshawakataa tngu wapo hai
 
Na tukija mizimu ni majini ambao wapo eneo husika tngu enzi na enzi na wakazijua taratibu za eneo hilo wakazilisha kutoka kizazi hadi kizazi mfn
Wakikuchagua uwe mrithi wanaweza wakakujia live kwa sura ya babu yako wakaongea na wewe ili hari wewe huyo babu yako hujawai kumuona ss unaamka ksho unamuhadithia baba yako baba nimeota mtu fulani kanitokea yupo hivi na hivi babaako kwa haraka jwa haraka anakwambia huo ni mzimu wa babu yako kakutokea ksho twende mzimuni tukaombe na tatalila nyingiii hvhv na hvhv mwishowe wanakujenga kisaikolojia unaanza sasa kuamini mizimu na kuabudu ukiwa na shida unaiombaa kitu kidogo kwenye mizimuu
 
Ruhani sasa na subihani hapo ndo wengi huadaiwa wanakwambia huyu ana subihani kichwani au ana maruhani so yakishapanda hayo maruhani yanakueleza matatuzo yako yotee na wewe kwa kuamini ni maruhani basi unawehuka unayaamini kumbe wote hao ni majini wanakuadaa
Tngu lini jini akamtoa jini mwenzie ktk mwili au kichwani ili hari wite wapo ktk mwili au kichwa cha binadamu hapo ndo jini hucheza mchezo wa kimaruhani na kisunibihiani
Ni hatari lakini salama
 
Halafu kila mtaa lazima uwe na kichaa sijui huwa ni kwanini..? Yaani kila mtaa na kichaa wake na ukikuta mtaa hauna kichaa basi jichunguze kwa makini huenda ukawa ni wewe..!!
 
Acha niamini ya kale kwamba vichaa wapo wa aina nyingi ila psychopath ndio wa kuogopwa zaidiii..

Just passing by!
 
Back
Top Bottom