Yani ifike kipindi mtu akiacha huo udiwani yule aliyeshika nafasi ya pili hadi tatu andelee maana huu ni udwazi sana hizo gharama za kurudia uchaguzi wawape vijana waliokosa mkopo...
Amen Amen Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema azidi kumpigania wacha nikamchingie kamanda Lissu...kuna yule mgonjwa mwingine yeye anahitaji kuombewa tu abadilike na sio michango tusimsahau
Mimi mwenyewe Leo sijawaelewa Yule Kabaye na Sasali nafikiri siyo busara kabisa walichofanya Leo ...kuna wale watangazaji wenzao wanafaa uchi nafikiri wangeanza na wale kwanza
Aisee kiukweli Mimi ni mmoja wapo wa mtu ambaye huyu dada nilikuwa kama simweli vile .....Ila baada ya kumsoma sana na kuanza kuona anatokea tokea hadi kwenye baadhi ya media wanamzungumzia ikabidi nizidi kumfuatilia kiukweli huyu Mange yupo vizuri na anajielewa sana huyu dada japo mitusi yake...
Wamemsafirisha hadi Dodoma Alf wameishia kumpeleka hospital tena, na kamati imesema itamhoji itakapojiridhisha afya yake imeimarika mambo mengine ya nchi ni kizunguzungu tu
Tuwe na Shukrani mda mwingine hivi madaktari wetu wasingepambana kwa hali ilivyokuwa mwanzo Leo tungekuwa tunazungumza nini? Na hawakusema kwamba pale ndo ilikuwa mwisho hapana bali alikuwa anaendelea kuhudumiwa lakini cha kwanza walikuwa wanapambana kumweka mgonjwa kuwa Stable kwanza......by...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.