Horseshoe Arch
JF-Expert Member
- Aug 10, 2009
- 13,139
- 12,285
Tazama wanavyofuja hela zetu za kodi hawa jamaa...inakera na kutia hasira!Mbunge Saed Kubenea (CHADEMA) amesafirishwa leo kwa ndege kwenda mkoani Dodoma, kwa ajili ya kuhojiwa na Kamati ya Maadili ya Bunge.
View attachment 592073