Kama Nairobi wamesema wametoa risasi nane kwa Lissu, lengo la madaktari wa Dodoma kutoa tano ni nini?

Kumbuka Dodoma hawakufanya major operation walifanya Kitu kinaitwa resuscitation ni kumrudisha mgonjwa Katika hali yake ya kawaida kwa kuhakikisha vital signs zote ziko stable na no more bleeding na kuondoa hizo baadhi ya risasi

Kule Nairobi wamefanya major operation ambako Sasa ni rahisi Kuona kila Kitu huko ndani na kutoa ndiyo maana idadi inatofautiana.

Usijenge dhana ambayo Haipo kabisa kama vile Dodoma madaktari waliziacha risasi kwa makusudi hapana.

Viapo vya madaktari ni vikali sana ndiyo maana anaweza kukutana na hata jambazi aliyefanya uhalifu kwa ndugu wa daktari na bado jambazi huyo akapewa huduma stahiki.
Kiapo kitu gani, kwani ukikiuka kinakata shingo? Hakuna kiapo kikali wala butu, viapo vya professionals wote vina maana inayofanana. Japo simaanishi kuwa madaktari wa Dom wamefanya tofauti na maadili yao ya kitaaluma.
 
Tuwe na Shukrani mda mwingine hivi madaktari wetu wasingepambana kwa hali ilivyokuwa mwanzo Leo tungekuwa tunazungumza nini? Na hawakusema kwamba pale ndo ilikuwa mwisho hapana bali alikuwa anaendelea kuhudumiwa lakini cha kwanza walikuwa wanapambana kumweka mgonjwa kuwa Stable kwanza......by the way sisi ambao sio fani zetu hizi tuwashukuru Madaktari wetu walifanya kazi kubwa sana! Mungu mponye Lissu
 
Madaktari Wa dodoma walikaa na mgonjwa chini ya masaa12 tu,so tu wapongeze kwa hilo,nairobi wako na mgonjwa siku 11 nao wanaitaji pongezi zaidi,,Wakati huu tuachane na habari zakupata maelezo,Ila tumuombee na kama uwezo upo tumchangie.[HASHTAG]#prayforlissu[/HASHTAG]
 
Dunia nzima Tanzania inaaminika sana katika sekta mbili ulinzi na afya tu. Yaani askari wetu wanaaminika sana kimataifa regardless kutumiwa vibaya na watawala wetu yaani kimafunzo wako vizuri.

Hadi sasa naiamini idara ya afya na ulinzi wa nchi hii licha ya mapungufu ya kumezwa na watawala.

Sawa. Endelea kuiamini idara ya ulinzi ambayo ready made answer kwa kila tukio la uvamizi/uhalifu ni "WATU WASIOJULIKANA".
 
Kumbuka Dodoma hawakufanya major operation walifanya Kitu kinaitwa resuscitation ni kumrudisha mgonjwa Katika hali yake ya kawaida kwa kuhakikisha vital signs zote ziko stable na no more bleeding na kuondoa hizo baadhi ya risasi

Kule Nairobi wamefanya major operation ambako Sasa ni rahisi Kuona kila Kitu huko ndani na kutoa ndiyo maana idadi inatofautiana.

Usijenge dhana ambayo Haipo kabisa kama vile Dodoma madaktari waliziacha risasi kwa makusudi hapana.

Viapo vya madaktari ni vikali sana ndiyo maana anaweza kukutana na hata jambazi aliyefanya uhalifu kwa ndugu wa daktari na bado jambazi huyo akapewa huduma stahiki.
Kidos mkuu
umeongea very technical
 
Kumbuka Dodoma hawakufanya major operation walifanya Kitu kinaitwa resuscitation ni kumrudisha mgonjwa Katika hali yake ya kawaida kwa kuhakikisha vital signs zote ziko stable na no more bleeding na kuondoa hizo baadhi ya risasi

Kule Nairobi wamefanya major operation ambako Sasa ni rahisi Kuona kila Kitu huko ndani na kutoa ndiyo maana idadi inatofautiana.

Usijenge dhana ambayo Haipo kabisa kama vile Dodoma madaktari waliziacha risasi kwa makusudi hapana.

Viapo vya madaktari ni vikali sana ndiyo maana anaweza kukutana na hata jambazi aliyefanya uhalifu kwa ndugu wa daktari na bado jambazi huyo akapewa huduma stahiki.
Upo sahihi kabisa, lengo la dodoma lilikuwa kuokoa uhai kwanza na akiwa stable apatiwe matibabu zaidi.
 
Hili swali najiuliza sipati jibu

Lengo la kuziacha zile risasi nane ilikuwa nini? Maana Kenya zimetolewa nane wakati Dodoma tuliambiwa alipigwa risasi tano,bora wangesema alitolewa tano zimebaki nane
Kazi za kidaktari waachie wenyewe,halafu wangesema zimebaki nane ndio iweje ,jua ugonjwa /tatizo la mgonjwa ni siri kkati ya mgonjwa na daktari wake ,pia muwe na shukrani kwa kazi waliyofanya madaktari wa hapa nchini ,risasi hazitolewi mwilini kama vile unavyookota maembe,wacha wenye taaluma zao wafanye kazi zao kwa weledi wao na sio kwa unavyotaka wewe
 
Izo nane walikaa nae muda gani na walitoa tano walikaa nae muda gani pia?
 
Hili swali najiuliza sipati jibu

Lengo la kuziacha zile risasi nane ilikuwa nini? Maana Kenya zimetolewa nane wakati Dodoma tuliambiwa alipigwa risasi tano,bora wangesema alitolewa tano zimebaki nane
Hata shukrani tu ya mdomo mmeshindwa kuwapa si bora wangetoa moja tu,ili wakufurahishe zaidi. Unadhani risasi zinatolewa kama funza wewe.

Sent from my TECNO 7C using JamiiForums mobile app
 
Jamaa kaandika ka post cha kuwa enjoy watu uku akiwa na majibu yake mfukoni.
 
Lissu aliumia sana, kilichofanyika ni kumfanya aendelee kupumua kwanza kisha matibabu ya msingi yafanyike. Madaktari wangekuwa na nia mbaya katika hiyo operation wangeweza kucheza na taaluma yao kwa sekunde mbili tukamkosa Lissu

Tuungane kushukuru juhudi za wale madaktari!
Kabisa kabisa mkuu
 
Kwani alipelekwa huko Kenya kufanya nini kama alipelekwa kwenye matibabu basi usishangae kuendelea kutolewa risasi

Jiulize hizo risasi zilitolewa sehemu ambayo Dodoma walifanyia upasuaji kama hapana jua matibabu yanaendelea anaweza kwenda hata marekani akatolewa zingine
 
Hili swali najiuliza sipati jibu

Baada ya Mbunge Lissu kupigwa risasi alifanyiwa upasuaji na jopo la madaktari, akiwemo Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya. Katika upasuaji huo alitolewa risasi 5 mwilini na kisha kusafirishwa kwa ndege hadi Nairobi.

Alipofika huko alifanyiwa upasuaji takribani mara 2 au 3 na kutolewa risasi 8 zaidi. Je lengo la kuziacha zile risasi nane ilikuwa nini? Maana Kenya zimetolewa nane wakati Dodoma tuliambiwa alipigwa risasi tano, bora wangesema alitolewa tano zimebaki nane.

Rejea mada => Hivi ndivyo risasi nane zilizotolewa mwilini mwa Lissu nchini Kenya, nje ya 5 zilizotolewa pale Dodoma
Mi nafikiri madaktari wa Dodoma tusiwalaumu sana, risasi inaweza isionekane kwa kipimo A kisha kikaonekana kwa kipimo B. sasa yawezekana riporti ya kwanzia ikaonyesha risasi pungufu ripoti ya pili inaonyesha kwamba zingine pia zilipenya mwilini ndiyo maana bado vipimo na matibabu zaidi yanahitajika.

Bado mimi najiuliza, hivi huyo mtu aliyemimina risasi hizo 38 kwa binadamu mwenzake ni binadamu (Bin Adam) wa kawaida kweli? aliyezaliwa na mwanamke kwa uchungu? Yaani unataka kutoa roho ya binadamu mwenzako kwa risasi 38 za SMG (Bunduki ya kivita); ndiyo ndivyo tumefika watanzania kweli??

Hili jambo ni kubwa sana na linasononesha mno; yaani hata kama kafanya kosa kubwa kiasi gani, ndiyo uamue kutoa uhai wake wa risasi 38?? ; Mimi tangu nipate akili sijawahi kushuhudia mambo haya - hii ni aibu kwa taifa na limetutia doa kubwa sana.

its really hard to swallow !! Ni kweli kuna binadamu ambao ni wanyama pure ila wana macho 2 na miguu 2 na tunaishi bila kuwajua - haiwezekani na haingii akilini kabisa.
 
Back
Top Bottom