Tunamkumbuka Mwalimu

Tunamkumbuka Mwalimu

Abunwasi

JF-Expert Member
Joined
Jun 25, 2009
Posts
5,486
Reaction score
3,483
upload_2017-10-14_18-12-46.png
 
Sitomsahau kwa vifuatavyo;

1: Uongozi uliotukuka
2: Uanaharakati wa kusaidia nchi nyingine
3: Kukemea kwa vitendo rushwa
4: Kuwaunganisha watanzania wote kuwa kitu kimoja
5: Kuhamasisha uzalendo hapa nchini

Pumzika kwa Amani Mwalimu JK Nyerere hakika hatutakusahau milele na milele muasisi wa taifa letu Tanzania
 
Sitomsahau kwa vifuatavyo;

1: Uongozi uliotukuka
2: Uanaharakati wa kusaidia nchi nyingine
3: Kukemea kwa vitendo rushwa
4: Kuwaunganisha watanzania wote kuwa kitu kimoja
5: Kuhamasisha uzalendo hapa nchini

Pumzika kwa Amani Mwalimu JK Nyerere hakika hatutakusahau milele na milele muasisi wa taifa letu Tanzania
Ongezea na Elimu Bure Mkuu.
 
Ila tulimkumbuka mtu tuwe wawazi tu..
Hiii katiba ya leo maovu na ya kinyonyaji inayotumiwa niyeye ndo alituletea Nyerere..
Sasa tusisisifie tu..Na alipokosea tuseme pia..kwenye ile katiba alitoa boko kambarage
 
Alafu kunatofauti kubwa Kati ya nyerere na huyu wasasa...
Tawala zao ziko tofauti kabisa...
Nyerere alikuwa mtu wa kauli moja..hakuwa na ndimi mbili
 
upload_2017-10-18_9-12-6.png

JK akiwa na JK kwenye ziara rasmi USA
 
Ila tulimkumbuka mtu tuwe wawazi tu..
Hiii katiba ya leo maovu na ya kinyonyaji inayotumiwa niyeye ndo alituletea Nyerere..
Sasa tusisisifie tu..Na alipokosea tuseme pia..kwenye ile katiba alitoa boko kambarage
Labda kwa mahitaji ya kipindi kile ilikuwa inajitosheleza tofauti na sasa mkuu
 
Huyo ndiyo mzalendo syo hawa wanatumia Magari ya bln 1 Kwa thamani

Ova
 
Ila tulimkumbuka mtu tuwe wawazi tu..
Hiii katiba ya leo maovu na ya kinyonyaji inayotumiwa niyeye ndo alituletea Nyerere..
Sasa tusisisifie tu..Na alipokosea tuseme pia..kwenye ile katiba alitoa boko kambarage
Ila alishasema, alifanya mema na ya kipumbavu..... chukuenk mazuri na mabaya acheni ila tatzo tunachukua ya kipumbavu hlf mema tunayaacha!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom