Hii nyerere ashawahi kutishia kwenye hotuba zake?"Poa mkuu
Kila zama na mambo yakeWengine sasa hivi hata kishoka hakionekani, ni full ubaridi wa kutengeneza..!!
Ongezea na Elimu Bure Mkuu.Sitomsahau kwa vifuatavyo;
1: Uongozi uliotukuka
2: Uanaharakati wa kusaidia nchi nyingine
3: Kukemea kwa vitendo rushwa
4: Kuwaunganisha watanzania wote kuwa kitu kimoja
5: Kuhamasisha uzalendo hapa nchini
Pumzika kwa Amani Mwalimu JK Nyerere hakika hatutakusahau milele na milele muasisi wa taifa letu Tanzania
Hiki kishoka noma, naona yupo kwenye V8 la wakati huo
Ndio aliwatishia wala rushwaHii nyerere ashawahi kutishia kwenye hotuba zake?"
Samahani imejipost hii, muipuuze
We I'll remember him Forever.
Yap yapOngezea na Elimu Bure Mkuu.
Labda kwa mahitaji ya kipindi kile ilikuwa inajitosheleza tofauti na sasa mkuuIla tulimkumbuka mtu tuwe wawazi tu..
Hiii katiba ya leo maovu na ya kinyonyaji inayotumiwa niyeye ndo alituletea Nyerere..
Sasa tusisisifie tu..Na alipokosea tuseme pia..kwenye ile katiba alitoa boko kambarage
Dah apa kauramba hatari!!! Kapendeza sana kwa kwel
Ila alishasema, alifanya mema na ya kipumbavu..... chukuenk mazuri na mabaya acheni ila tatzo tunachukua ya kipumbavu hlf mema tunayaacha!Ila tulimkumbuka mtu tuwe wawazi tu..
Hiii katiba ya leo maovu na ya kinyonyaji inayotumiwa niyeye ndo alituletea Nyerere..
Sasa tusisisifie tu..Na alipokosea tuseme pia..kwenye ile katiba alitoa boko kambarage