Recent content by craft

  1. C

    A broke country with an expensive govt; guess who pays the price?

    Jeneral anasema kila siku..ila tatizo watu hawasikii
  2. C

    Picha za demu wa Young Killer akichezea pesa zazua gumzo

    Shillingi yaua... Tena maua...simba wa nyika waliwai kuimba...
  3. C

    Teknolojia gani ni kubwa zaidi kutokea duniani?

    Hii Mbona inafanyiwa majaribio tayari
  4. C

    Hivi kwanini majambazi wanapenda sana kutumia Boxer BM 150..?!!

    Labda urahisi wa kuzipata..gear 4..mashine ndogo sana..sasa ikikutana na Baja si inakaa.
  5. C

    Kama binadamu wa kwanza alikuwa mweupe, watu weusi wametoka wapi?

    Kuna maandiko mengine yanasema mtu wa kwanza aliishi Tanzania (olduvai George) na waandishi wengine wanasema ni Ethiopia.. Hapa sijausisha biblia....
  6. C

    Mdogo wangu wa kike kanieleza maneno haya...huku tunakoelekea siko!

    Kwamba wewe mwanasheria siyo..hao wawili watakapofanya yao ndo utajua maana ya mkataba.
  7. C

    Furahia maisha na bayport

    Hawa jamaa riba yao hatari
  8. C

    Wanafunzi 11 wa chuo kikuu cha Mwenge-Moshi wamesimamishwa Masomo kwa sababu za kiimani!

    Kukosa kusali siku moja hakukufanyi usiende mbiguni.... Waache kukacha paper
  9. C

    Soko la ajira kwa waliosoma nje

    Nje ipi sasa..kongo, sudani kenya au wapI Mkuu....
  10. C

    Wanawake wenye profession hizi wana tabia gani mapenzini?

    Manesi watamu sana.na kumbuka ni chakula ya madokta
  11. C

    Michael Scofield exposes his boyfriend

    Dah..kweli dawa ya mkate chai,,jamaa na utabe wake wote kumbe kuna watu wanapima oil...hatari sana
Back
Top Bottom