Ndugu zangu wana Mbinga achaneni na dhana ya kuishi kwa ndoto na ahadi za Wabunge, mnapaswa kubadilika, ni mweli Mbinga imejaa utajiri lakini wana mbinga ni masikini, mmenyimwa haki ya kuujua ulimwengu unavyokwenda, halafu wasomi wa Mbinga wamejaa ubinafsi mkubwa, mwisho acheni ushirikina...