Kiyabo: CCK itatoa Rais 2015

Kiyabo: CCK itatoa Rais 2015

taarifa rasmi ya Chama Cha Kijamii kuhusiana na uchaguzi mkuu itatoka siku chace zijazo,tujuavyo ni kuwa Richard Kyabo ni mwanachama wa chama cha mapinduzi na hahusiki na ukada wa Chama Cha Kijamii.

Hakuna uchaguzi wowote unaoendelea kwa sasa ndani ya chama japo kuna kundi la watu likiongozwa na Akitanda na wenzake wa mitaani wameokotana hapo mbagala na temeke kumuhadaa msajili ya kuwa leo kunafanyika uchaguzi kitu ambacho si kweli.

ili uchaguzi mkuu ufanyike kunahitajika kuwe na matawi ya chama kutoka ngazi za vijiji,mitaa,kata,wilaya na taifa,na mpaka sasa hatuna uongozi uliokamilika katika mkoa hata mmoja wa Tanzania.

J.S.ALAWY
KATIBU MWENEZI WA MUDA - CCK TAIFA.

Teh teh teh, mbona mkutano umeshafanyika?
 
Kiyabo, ambaye baada ya CCJ kufutwa alihamia Chama Cha Mapinduzi (CCM) kabla ya kuamua kuachana na siasa kwa muda, amesema anaamini kwamba Bunge la 11 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania litakuwa na wabunge wa kutosha kutoka CCK.
 
Back
Top Bottom