Upendo Richard
New Member
- Jan 17, 2011
- 3
- 1
taarifa rasmi ya Chama Cha Kijamii kuhusiana na uchaguzi mkuu itatoka siku chace zijazo,tujuavyo ni kuwa Richard Kyabo ni mwanachama wa chama cha mapinduzi na hahusiki na ukada wa Chama Cha Kijamii.
Hakuna uchaguzi wowote unaoendelea kwa sasa ndani ya chama japo kuna kundi la watu likiongozwa na Akitanda na wenzake wa mitaani wameokotana hapo mbagala na temeke kumuhadaa msajili ya kuwa leo kunafanyika uchaguzi kitu ambacho si kweli.
ili uchaguzi mkuu ufanyike kunahitajika kuwe na matawi ya chama kutoka ngazi za vijiji,mitaa,kata,wilaya na taifa,na mpaka sasa hatuna uongozi uliokamilika katika mkoa hata mmoja wa Tanzania.
J.S.ALAWY
KATIBU MWENEZI WA MUDA - CCK TAIFA.
Teh teh teh, mbona mkutano umeshafanyika?