Point nzuri hiyo
chama kilichojiandaa kuchukua nchi kikoje? wajipange vipi? wape mkakati waweze kujipanga. Ni rahisi kumhukumu mchezaji aliyepo uwanjani. Ingia mchezoni tuone kaka!!
Point nzuri hiyo
chama kilichojiandaa kuchukua nchi kikoje? wajipange vipi? wape mkakati waweze kujipanga. Ni rahisi kumhukumu mchezaji aliyepo uwanjani. Ingia mchezoni tuone kaka!!
Sheikh Yahaya mwengine well tukuulize umetumwa ? Kila la kheri we shall see mie sina chama ila nadhani CCM kuanguka ni ngumu sana. Zaidi kwasababu Chadema ni chama hakijajipanga kuchukua nchi hata kidogo. Sana sana kutatokea machafuko tu hasa ya kidini mark my words......
mkuu tatizo la ccm wako nyuma sana na muda!Hilo la kutokea machafuko limekuwa linatumiwa sana na ccm, kwa bahati mbaya kipindi hiki habari zinapatikana kwa urahisi zaidi hivyo upotoshaji watu eti kwa kisingizio cha kuwepo machafuko upinzani ukipewa madaraka hauna mashiko!
Sheikh Yahaya mwengine well tukuulize umetumwa ? Kila la kheri we shall see mie sina chama ila nadhani CCM kuanguka ni ngumu sana. Zaidi kwasababu Chadema ni chama hakijajipanga kuchukua nchi hata kidogo. Sana sana kutatokea machafuko tu hasa ya kidini mark my words......
Kinachonitisha zaidi - hasa baada ya kuamka leo - ni kuwa CDM inaweza ikajikuta nyuma ya mwamko wa mabadiliko. Kuna zaidi ya kufanya mikutano na watu kuhamia kwa wingi CDM.
Kinachonitisha zaidi - hasa baada ya kuamka leo - ni kuwa CDM inaweza ikajikuta nyuma ya mwamko wa mabadiliko. Kuna zaidi ya kufanya mikutano na watu kuhamia kwa wingi CDM.