Recent content by confidential person

  1. C

    Sina uhakika na mimba hii kama ni ya mchepuko au mume

    Ukafanya na....! ukafanya na....! Sawa we fanya tu, Ukichukua kadi ya kliniki na kupima jibu mimi nitakuwa nalo la ni nani atakuwa amekupa VIH/SDIA?
  2. C

    Itambue thamani ya uliyenae

    Tumekuwa wa kuonyesha kutaka kuthamini,kujali na kulinda punde tu tuwapo katika hatua ya kutaka ama kujenga uhusiano au muda mfupi tu tangu uhusiano uanze,tukipata tunasahau sijui huu ugonjwa utapona lini,tukiachwa tunajiwa na kumbukumbu na kuishia kujutia. Tujaliwe wepesi katika hili.
  3. C

    Kukusomesha kwangu, kumbe nilipanda karanga za kukaanga shambani nikitegemea mavuno!

    Hatusomeshi wachumba siku hizi,labda angekuwa tayari ni mama m/watoto wako.
  4. C

    Nimemkopesha pesa, baada ya kunipa penzi kagoma kunilipa

    Ulifanya mistake kubwa mkuu,kufall in love seriously then na kuDO nae ilihali tayari ni mdaiwa wako tena wa hela kubwa kwa maisha ya mtanzania wa kawaida.
  5. C

    Mzazi: Nairobi ya mwalimu iko wapi?

    Mtoto mmoja alitoka shule huku analia kweli kweli hadi alipofika kwao. Baba yake kuona mwanaye analia,ikabidi amuulize kulikoni; Baba: Unalia nini mwanangu mzuri? Nini kimekusibu huko utokako? Mtoto:Nimepigwa sana baba,nimeambiwa twende wote shule. Baba na mwanaye wakaongozana kwenda shule...
  6. C

    Mume wa mama mdogo ananirubuni anioe, nifanyeje?

    Mtoto wa kike wa dada yako akikua,utayajua maumivu yake.
  7. C

    Kuna shati nikilivaa lazima nikutane na huyu binti

    Siku ukivaa lenye bahati ya kufukuzisha na ukakimbiwa licha ya ww na yeye kutazamana kwa mbali usisahau kuleta mrejesho.
  8. C

    Wanaume tunatia aibu

    Ulitegemea bye-bye umaskini? hapo ndo kiroho safi umaskini una wewe,utaachwa na utaendelea kulipa madeni ya miaka kadhaa iliyopita.
  9. C

    Nikimwambia nampenda, najibiwa "K, thanx"!

    Huenda akawa amekariri,jaribu kumuanzishia viji-topic visivyohitaji majibu ya "ok" au "thanks" base mkuu kwenye "kwa nn", "kiaje labda" then utajifunza jambo jipya.
  10. C

    Asanteni wana Kyela kwa kuikataa CCM

    Ikasyege,papo imbombo jilipo
  11. C

    Shilole kuchora Tattoo ya Nuh Mziwanda kalioni

    Wachoraji mna zigo zito la siri,vinginevyo,,,,,! mmmh! mengi tungesikia mara kalio moja kubwa,mara oooh!
  12. C

    Yuko wapi Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania?

    Team Wakataji, imemtia maluweluwe!
  13. C

    Mbeya kaeni mkao, 14/8/2015 UKAWA wanakinukisha kumtabulisha mgombea urais Lowassa

    Tupo mkuu,watatukuta wanambeya wenye damu yenye DNA Na harufu ya M4C
Back
Top Bottom