Junior. Cux
JF-Expert Member
- Feb 3, 2011
- 5,319
- 3,797
Chaki ina harufu gani?
nshaisahau... ngoja walimu wapite huku
Chaki ina harufu gani?
kumbe walimu hawana gharama!!!? ila harufu za chaki utazikoma...
Teh teh..una utani wa ngumi wewe.
Hahha si najua utantetea mtoto... miss you
nshaisahau... ngoja walimu wapite huku
Mbona unaguna???? What is wrong with my wife????Nesi?
Mmmmmmh!
Harufu kama yako.
Kama kuna mwalimu humu, namsalimia
Marhabaaaaa, aya toa kidole pajini,
WANAUME TUNATIA AIBU.
Unaenda kutongoza mwanamke ambae hana kazi lakini ana Galaxy s6 na iphone6 plus. Wigi la laki 3. High hills 150,000/ kucha anatengezeza kwa 50,000/. Gauni 200,000/ amepanga nyumba analipa kodi laki 4.
Ana ka spacio anaendesha. Haonekani asubuhi akienda kazini ye jioni tu utamkuta Bar na hainken.Ulivyokuwa ----- unakuja kutulalamikia "ooh yule msichna hana maana eti ananiomba mil 1. Aongezee anunue Flat mpya"
KAKA KWANI WANAOOA WAALIMU NI WAJINGA?
Chaki ina harufu gani?