Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 137,692
- 272,561
- Thread starter
- #21
Tunahesabu masaa machache sana tumalize kazi .Delete mwakyembe
Tunahesabu masaa machache sana tumalize kazi .Delete mwakyembe
Tutashinda na tutahakikisha Kyela fm inafunguliwa .
Na mm nimemsikiliza Mwakyembe asubuhi startv. Akatamba kuwa amejenga shule za A level tatu, amejenga madaraja sijui wapi wapi huko, n.k.
Sasa akadai ushindi wa ubunge Kyela upo nje nje. Wanakyela tuambieni ukweli, huyu jamaa ni atashinda?????
kuwaza kwa sauti inaruhusiwa!!
nimemuona Mwakyembe star tv, anasema kyela atashinda kwa kishindo hata asipopiga kampeni
Unaweza tupatia matoke ya uko Kyelausiogope mabadiliko ; mwanyamaki ameahidi kuondoa vumbi mjini , kichocho na kipindupindu kyela .
update za kyela jamani ..
Mkuu erythrocyte mbulapo kyusa imbalilo jendile bulebule.Tutashinda na tutahakikisha Kyela fm inafunguliwa .