Mwalimu wangu wa muda wote Dr Sungwa wa udom college of education huyu jamaa mbinguni moja kwa moja, jamaa hana complications kabisa kutoa A kwa darasa zima haoni shida ilmradi umefanya kazi na ufundishaji wake ni very simple
North Korea is safe na hakuna mgogoro wowote hizo ni porojo za westernersna washirika wao. There is no way kiduku ataingia kwenye bifu na dada yake eti kisa madaraka. Kiduku ni "supreme leader"
Kisheria huna haki yoyote kwa kuwa wewe si mke wa ndoa. Kijamii tunakuona kuwa mwizi wa waume za watu.
But you need to celebrate kwa kuwa umepata mtoto mlee na mtunze mwanao huyo ndiye ndugu yako.
Kama umri wako bado nakushauri achana na huyo mwanamme haraka sana kabla mkewe hajafahamu tafuta...
nimepata kusikia na baadae nikasoma online kuwa Shakespeare did not really exist yaani hakujawahi kuwa na mtu aliyeitwa Shakespeare isipokuwa ni masimulizi tu kama habari ya wahenga kibongo bongo ambao kwa hakika hawajapata kuwepo ila ni msemo tu au sawa na Confucius kwa wachina he never existed...
Hapo hamna kitu mzazi, huyo demu ndio kaianza tu safari ya mapenzi hana experience yoyote zaidi ya kudate na vi.school boys atakuzingua baadae kama vipi kwa sasa wewe kula tu mzigo
Ndugai ni mtaalam wa mambo ya kiafrika amemteka kiongozi wetu ndio maana kila kitu ni ndugai so, ktk hili japo sio mashindano wala vita ila mshindi ni ndugai
Kama unataka arudi faster fanya hivi: nenda dukani kanunue chupi za kike kama kumi hivi tena zile za size kubwa kubwa zinazovaliwa na wale waliojaaliwa neema za allah ukirudi home zifue then zianike nje kwenye kamba
Ingia kitaa tafuta mwanamke yeyote yule akiwa jirani yako itapendeza zaidi mpe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.