Mimi kwa sasa naishi mwenyewe baada ya kuzinguana na wife na kila mtu ku-move on. Baada ya muda nikaingia kwenye mahusiano na binti ana miaka 18, mimi yangu 42.
Nampenda na anaonyesha ananipenda. Juzijuzi kagoma kwenda chuo alikotakiwa kwenda kisa hataki kuwa mbali na mimi katafuta chuo hapahapa mjini tunapoishi.
Sasa kaja na hoja anataka kuhama kwao akae na mimi kama mke wangu. Kifupi anataka nimuoe. Mi namwambia wewe bado mdogo kuwa mke na pili tofauti yetu kiumri sioni kama ni sahihi kwake kuolewa na mimi. Kakomaa anasema anajua tofauti yetu na alishaambiwa na watu wengi ikiwemo wazazi wake kuwa mimi mkubwa sana kwake lakini haya ni maamuzi yake, amejiridhisha kabla ya kuamua.
Je, ni sahihi kwa mimi kumuoa? Sitajuta baadae? Tofauti ya umri haiwezi kuwa shida baadae?
Msaada.
Nampenda na anaonyesha ananipenda. Juzijuzi kagoma kwenda chuo alikotakiwa kwenda kisa hataki kuwa mbali na mimi katafuta chuo hapahapa mjini tunapoishi.
Sasa kaja na hoja anataka kuhama kwao akae na mimi kama mke wangu. Kifupi anataka nimuoe. Mi namwambia wewe bado mdogo kuwa mke na pili tofauti yetu kiumri sioni kama ni sahihi kwake kuolewa na mimi. Kakomaa anasema anajua tofauti yetu na alishaambiwa na watu wengi ikiwemo wazazi wake kuwa mimi mkubwa sana kwake lakini haya ni maamuzi yake, amejiridhisha kabla ya kuamua.
Je, ni sahihi kwa mimi kumuoa? Sitajuta baadae? Tofauti ya umri haiwezi kuwa shida baadae?
Msaada.