MURUSI
JF-Expert Member
- Jun 25, 2013
- 4,486
- 8,704
Kuna mihimili mitatu ingawa mmoja ni mkubwa yes ila haindoi dhana ya Check and Balance. Nashindwa kuelewa kama Bunge kwa sasa linaweza isimamia serikali make miradi ya Serikali na Spika yupo anaibaliki hata kama itakuja kutokea Ufisadi au utata wowote ule.
Kenya huwezi kukuta Spika anaandamana na Uhuru Kenyata ingawa wote ni Chama Kimoja.
Uganda huwezi mkuta Spika wa Bunge la Uganda akiwa na Mseveni ingawa wote ni kutoka Chama Kimoja.
Hata hapo tu Rwanda kwa Mbabe Kagame huwezi kukuta Spika anaandamana na Raisi Kagame lila sehemu.
Kwa sasa alipo Raisi basi Ndugai yupo nyuma yake.
Vipindi vilivyo pita.
Tulikuwaga tunawaona Maspika kwenye Shughuri maalumu pekee kama sherehe za kitaifa.
Sikuwahi kwenye Maisha yangu Kumuona Kikwete kwenye Ziara zake akiandamana either na Samwe Sita au Anna Makinda.
Sikuwahi kumuona Mkapa akiandamana na Msekwa.
Awamu hii kama mtu ni mgeni anaweza zania Ndugai naye ni Mlinzi wa Raisi au ni Secretary wa raisi kumbe ni Spika wa Bunge.
Kenya huwezi kukuta Spika anaandamana na Uhuru Kenyata ingawa wote ni Chama Kimoja.
Uganda huwezi mkuta Spika wa Bunge la Uganda akiwa na Mseveni ingawa wote ni kutoka Chama Kimoja.
Hata hapo tu Rwanda kwa Mbabe Kagame huwezi kukuta Spika anaandamana na Raisi Kagame lila sehemu.
Kwa sasa alipo Raisi basi Ndugai yupo nyuma yake.
Vipindi vilivyo pita.
Tulikuwaga tunawaona Maspika kwenye Shughuri maalumu pekee kama sherehe za kitaifa.
Sikuwahi kwenye Maisha yangu Kumuona Kikwete kwenye Ziara zake akiandamana either na Samwe Sita au Anna Makinda.
Sikuwahi kumuona Mkapa akiandamana na Msekwa.
Awamu hii kama mtu ni mgeni anaweza zania Ndugai naye ni Mlinzi wa Raisi au ni Secretary wa raisi kumbe ni Spika wa Bunge.