Hata baba yako atembee uchi utamkana? Utakuwa umekosa akili wewe !!!! Nakushangaa sana wewe unaeidhalilisha nchi yako ya Tanzania ikiwa unaishi Mbagala ndan ya jiji la dar es salaam utakakusaidikaje? Kama unaona mapungufu ushaur wako ni upi? Usilikosoe jeshi ikiwa wewe n mtoto wa mama tu hata...
WewEeeeeee oooohOoooo, toka ujitambue ni mwanaume ulishasifiwa n mzuri???? Uctafute kujiaibisha kwa watu wanaokufaham utachekwaaaaaa,,waliokutongoza ndo saizi yako kaka upoo????
Mnamatch ndo maana akaona unamfaa.....usitafute makuu akati kutongoza hujui!!!
Sent from my BlackBerry 9780 using...
Embu jaribu kufikiri kwanza bhana kama unafanya ww ucwajumuishe na wengine ndugu acha kukurupuka unajiaibisha!!!
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
Sasa kama ndo hvyo alievaa shela avue ampe huyo anaestahili kuolewa hapo kelele ziishe jamani watu wanachotaka hapo ni pilau bhaana au..........
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
Nna kaz nyng tu znazoniingizia na kunitimizia mahitaj yangu so niziache nikaandamane??? Ukosefu wa maarifa huo
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.