naskia wanakupunguzia bei ya simu kwa asilimia kubwa sana unaweza ukauziwa hata laki moja au mbili
simu ya milioni. au hata chini zaidi..ila kila mwezi
unakua unawalipa kiasi flani cha pesa labda elfu
50,hiyo wanakupa labda messages kadhaa, internet
n calling minutes kadhaa, n ukiingia hujitoi au ukijitoa unalipia asilimia 100 ya ile simu
simu ya milioni. au hata chini zaidi..ila kila mwezi
unakua unawalipa kiasi flani cha pesa labda elfu
50,hiyo wanakupa labda messages kadhaa, internet
n calling minutes kadhaa, n ukiingia hujitoi au ukijitoa unalipia asilimia 100 ya ile simu