Usijidanganye na hawa watu. Ela za wazazi na mitaji ya ndugu na kurithishana. Kuunganishwa na washua makazini.
Kama una hizo mambo bas utannua..pia iantegmea gharama za nyumba nk.
Bila mkono wa mtu...as in any help. Hutoboi. Kwahyo relax. 30yrs ni ndogo sna.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.