Wanawake kuweni na huruma

Wanawake kuweni na huruma

Wendawazimu hao! Achana nao kabisa maana ni mizigo paseee! Itakusumbua tu! Mtu asiye jithamini ni hatari sana kwenye relationship maana input ni 0! RUN!

kweli ndio mana hadhi yao inashuka halaf ndio hao wanaishia kuwa ma single mother
 
Watanadilika tu maana Universe nayo inabadilika...wanawake tulijisahau sana tukafikira sisi ni viumbe vinyonge, la hasha! Amka mwanamke pambana kula jasho lako! Hukuzaliwa kuwa omba omba!
 
Watanadilika tu maana Universe nayo inabadilika...wanawake tulijisahau sana tukafikira sisi ni viumbe vinyonge, la hasha! Amka mwanamke pambana kula jasho lako! Hukuzaliwa kuwa omba omba!
 
Kwel kabisa mkuu, me dame wa virungu simmaind kabisa.. siku akija kunifunulia msambwanda wake hata jero ya vocha haioni tena..
Kila mtu abaki na chake...
 
Wewe kama huna helaa kaa kimyaa waachie wenye nazooo sasa usipo mpendezesha wewe unataka nani ampendezesheee!??? Na kwanini usubiri mpk akuombe km unamjali si uwe unampa.. Alaaaaaa po ....mb
...fooo
Shida ni unampendezesha ili avutie wengine haha
 
Hela akaombe wazazi, mbona we kidude chake unaomba si ukaombe huko kwenu na wewe
Huu uhusika wa kutongoza alivishwa mwanaume toka enzi though nanyi siku izi mumeamua kuingilia katika kugegedana just enjoying and refleshing lakini pale mnapotaka kila baada kugegedana ulipwe ndo hapo panapoanzia madada poa.
 
naweka wazi sasa!..

mwanamke yeyote anayeomba hela ovyoovyo ni KAHABA!..ndiooo ni kahaba ila anahudumia mteja mmoja kwa muda fulani..yes,kahaba unayejifichajificha katika swala la mapenzi..kazi yako ndio hiyo,kugegedwa na kupewa pesa,kama sivyo mbona kila time "unalipwa" wewe?wewe hujamletea mwenzako hata soksi siku?!..ila kila time "bebi nataka bebi naomba!"mpenzi wa kulipwa.....
 
wakuu kumekuwa na tabia ya hawa madem zetu kuomba omba hela oo mara hela ya kusuka ooo mara hela ya nguo hivi nyie dada zetu mnao omba vp hamna wazazi wenu ama ndio mana tuna hit and run sababu ya kuombwa ombwa hela kila kukicha mapenzi sio pesa dada zangu mm naomba mbadilike maana mmezidi samahan kama nimewakosea
Huwezi badilisha nature!!
 
Tatizo wadada wadanganyana sana, mfano, me kukupa hela sio issue ukiniomba nakupa, lakin unakuta mwanzoni mwa mahusiano tu mtu tayari ashaanza kuwa entitled na hela yako as if anakujuaaaaaaaa saaaaaaana..... io kitu huwa inanikata stimu sana. sababu sihijitaki kufeel kuwa nakuhonga, thou najua mapenz bila pesa magumu pia. nikisia "Dear nikwambie kitu" najua tu imoooooo, Here we go again. alafu kuomba hela kwa kutest ndo kunanikwaza zaidi. Anyways n mtazamo wangu
 
Shida ni unampendezesha ili avutie wengine haha
Sawa lzm atavutia km alivyokuvutia wewe lkn km atakuwa anajitambua, wakimchombeza atakataaa km kweli nimwanamke mwenye msimamo na mapenzi ya dhati.
 
Huu uhusika wa kutongoza alivishwa mwanaume toka enzi though nanyi siku izi mumeamua kuingilia katika kugegedana just enjoying and refleshing lakini pale mnapotaka kila baada kugegedana ulipwe ndo hapo panapoanzia madada poa.
Bana eeh papuchi sio maji wala chakula useme ukiikosa utadanja, achana na papuchi fanya mambo mengine
 
Back
Top Bottom