Kama unaona bei ya apps ni ghali kajaribu kusoma IT hapa bongo uone kama utaweza kudesign hata ki-website uchwara kirahisi rahisi tuuKila nikitafuta mtu wa kunitengenezea app ya android
nakuta watu wanataka prsa ndeefu..
Zamani hata website ilikuwa pesa ndeefu siku hizi hadi bure
wapo wanaokutengenezea
Najiuliza why app hizi bado ghali sana?
Umemuelezea fresh sana, ndo nilchokuwa najaribu kumwambia. Safi sana bro! Me kuna mtu nimekataa kuntengenezea app yake kisa ana 1m wakat kaz yake inachukua more than a month na ilkuwa ya 2.5mHehehe, mkuu hiyo ni ajira ya mtu, app moja inaweza chukua muda mrefu sana, hadi miezi kadhaa, unataka mtu akufanyie bei gani? laki moja mbili?
Wanaotengeneza website kama blog ile sio complex skill wanatumia templates tu kitendo cha kubadilisha data, au wordpress na yenyewe vilevile tu. Ukitaka custom website na complex features hakuna mtu nayemjua wa kufanya chini ya Tshs.2Million.
Apps in most cases lazima uanze from scratch, kuandika code sio kitu rahisi kama watu wengi wanavyofikiria, hauendi tu na kuiambia computer app iko hivi na yenyewe ikafanya, kuna mambo mengi sana ya kujifunza, ni skill ambayo imetuchukua wengine miaka kuimaster.
App ya bei chini kabisa nilowahi fanya ni 500K na hiyo ilinichukua siku moja kuikamilisha. Ila kawaida siendi chini ya 2M kwa simple apps na 10M+ kwa complex applications, miaka niliyopoteza kusoma inabidi ijilipe, mwisho wa siku app itakutengenezea wewe mamilioni kwa nini niifanye kwa laki moja mbili au less? hehehe! Wapo lakini developer uchwara wanaweza kukufanyia hata kwa 50K lakini jiandae kupata quality sawa na bei hiyo.
Jamaa alikuwa juu ya kiuono huku ana tweet jana. Matokeo yake kachanganya madawa ahahha...

Kila nikitafuta mtu wa kunitengenezea app ya android
nakuta watu wanataka prsa ndeefu..
Zamani hata website ilikuwa pesa ndeefu siku hizi hadi bure
wapo wanaokutengenezea
Najiuliza why app hizi bado ghali sana?
Sijui ulikuwa unataka app ya aina gani na toka kwa nani, lakini nitajaribu kukupa mwanga kuwa si app zote zinafanana na hakuna bei moja. Urahisi au u ghali wake unategemeana na mambo mengi sana. Haya ni baadi tu:Na mimi nilihisi hivyo
kuuliza natajiwa price mara kumi ya website
Unfortunately JF have single like..!Hehehe, mkuu hiyo ni ajira ya mtu, app moja inaweza chukua muda mrefu sana, hadi miezi kadhaa, unataka mtu akufanyie bei gani? laki moja mbili?
Wanaotengeneza website kama blog ile sio complex skill wanatumia templates tu kitendo cha kubadilisha data, au wordpress na yenyewe vilevile tu. Ukitaka custom website na complex features hakuna mtu nayemjua wa kufanya chini ya Tshs.2Million.
Apps in most cases lazima uanze from scratch, kuandika code sio kitu rahisi kama watu wengi wanavyofikiria, hauendi tu na kuiambia computer app iko hivi na yenyewe ikafanya, kuna mambo mengi sana ya kujifunza, ni skill ambayo imetuchukua wengine miaka kuimaster.
App ya bei chini kabisa nilowahi fanya ni 500K na hiyo ilinichukua kama masaa manne kuikamilisha. Ila kawaida siendi chini ya 2M kwa simple apps na 10M+ kwa complex applications, miaka niliyopoteza kusoma inabidi ijilipe, mwisho wa siku app itakutengenezea wewe mamilioni kwa nini niifanye kwa laki moja mbili au less? hehehe! Wapo lakini developer uchwara wanaweza kukufanyia hata kwa 50K lakini jiandae kupata quality sawa na bei hiyo.
Em angalia hii picha ujifunze kitu
View attachment 517300
Mtu anatengeneza app bure iwapo inamlipa yeye tu na si kutumia mda wake kumtengenezea mtu app burePole sana, tatizo watu wanaojua kutengeneza Apps kwa sasa ni wachache. Nawashauri vijana walio vyuoni wachukulie hii kama fursa ya kujifunza na kujipatia jina na hivyo watengeneze hata bure. Bahati mbaya kwa sasa nafasi yangu ni finyu sana, la sivyo ningejitosa kukusaidia. Let's hope utapata mtu anayejali career kuliko pesa, soon.
Mkuu umenikumbusha kuna mtu alikuja nikamtengenezea database kwa kutumia PHP & MySQL kwa laki saba na nusu akauliza naweza kutengeneza na app yake ya android, nikamwambia ndio ila nitatengeneza kwa 9M akashangaa sana hiyo difference, nikamwambia kama anaona ni bei sana akajaribu kwingine aje anipe mrejesho, sehemu nyingine alikuta mwenye bei ndogo zaidi ni 15MHehehe, mkuu hiyo ni ajira ya mtu, app moja inaweza chukua muda mrefu sana, hadi miezi kadhaa, unataka mtu akufanyie bei gani? laki moja mbili?
Wanaotengeneza website kama blog ile sio complex skill wanatumia templates tu kitendo cha kubadilisha data, au wordpress na yenyewe vilevile tu. Ukitaka custom website na complex features hakuna mtu nayemjua wa kufanya chini ya Tshs.2Million.
Apps in most cases lazima uanze from scratch, kuandika code sio kitu rahisi kama watu wengi wanavyofikiria, hauendi tu na kuiambia computer app iko hivi na yenyewe ikafanya, kuna mambo mengi sana ya kujifunza, ni skill ambayo imetuchukua wengine miaka kuimaster.
App ya bei chini kabisa nilowahi fanya ni 500K na hiyo ilinichukua kama masaa manne kuikamilisha. Ila kawaida siendi chini ya 2M kwa simple apps na 10M+ kwa complex applications, miaka niliyopoteza kusoma inabidi ijilipe, mwisho wa siku app itakutengenezea wewe mamilioni kwa nini niifanye kwa laki moja mbili au less? hehehe! Wapo lakini developer uchwara wanaweza kukufanyia hata kwa 50K lakini jiandae kupata quality sawa na bei hiyo.
Em angalia hii picha ujifunze kitu
View attachment 517300
Kwanini watu huwa wanafanya kazi za kujitolea? Mfano: umemaliza degree yako na upo unasaka kazi. Mwaka wa kwanza unapita, wa pili unapita, wa tatu unapita na bado uko nyumbani hujapata kazi. Ikitokea nafasi ya kufanya kazi inayoendana na profession yako utaikataa kwa sababu ni ya bure?Mtu anatengeneza app bure iwapo inamlipa yeye tu na si kutumia mda wake kumtengenezea mtu app bure