Recent content by chuma_cha_pua

  1. chuma_cha_pua

    Natafuta kazi ya kujishikiza na kujitolea

    Habari...ushauri wangu ondoa kwanza neno kujishikiza...acha neno kujitolea.
  2. chuma_cha_pua

    Sabasaba 2020: Wizara ya Kilimo na Uvuvi na samaki aina ya Silikanti

    Habari wanajamvi, Kuna jambo nimeona la kushangaza kidogo katika maonyesho haya ya sabasaba katika banda la Wizara ya Kilimo na Uvuvi, kuna sanamu ya huyu samaki anayeitwa coelacanth au silikanti ambaye ni aina ya samaki anayezaa badala ya kutaga mayai, na pia inasemekana ni jamii ya samaki...
  3. chuma_cha_pua

    10 Animals you never knew existed

    Narwhal hilo ni jino ambalo limetokeza nje na si pembe...
  4. chuma_cha_pua

    Hatua nilizopitia hadi kuweza kuwa na online store

    Naomba link ya site yako bwana mkubwa.... Sent using Jamii Forums mobile app
  5. chuma_cha_pua

    Msaada kwa wanasheria juu ya hii scenario

    Wadau wa Sheria, katika hii case lipi ni sahihi? Sent using Jamii Forums mobile app
  6. chuma_cha_pua

    Nyumba yangu inapigwa mnada na NMB

    Lipa deni...najua kabla ya wao kuja kufanya hiko walichokifanya walijaribu kuwasiliana na wewe kwa njia mbali mbali ikiwemo kukupa notice ya kulipa hilo deni la baba yako... Sent using Jamii Forums mobile app
  7. chuma_cha_pua

    CRDB Bank na kinachoendelea?

    Nenda Tpb bank ukaunganishwe na huduma ya Simu ya Tpb popote iko fast and reliable, na makato yake ni cheap,hakikisha unapata pia Atm zao ziko vzuri 24-7....sisumbukagi na maswala ya mtandao wala foleni ndefu.
  8. chuma_cha_pua

    Wafanyabiashara wa mikoani mnaochukua vitu Kariakoo, njooni tujuzane machimbo ya bidhaa

    Kwa anayejua disposable Cups kama hizo kwenye picha zinapopatikana k.koo naomba aniambie,na kama anajua bei pia .
  9. chuma_cha_pua

    Graduate, mshahara chini ya milioni moja usifanye kazi

    Mpaka sasa nimesoma comments za wengi ila yako ina kitu cha tofauti...wito kwa vijana wanaosoma mavyuoni,anzeni kujishughulisha na ujasiriamali mkiwa bado mavyuoni,hata ukija kupata mshahara wa 1M hautotosha...mtaji usiwe kigezo, kitu kikubwa ni nia..ukiwa na nia, njia ya kupata mtaji...
  10. chuma_cha_pua

    Baada ya kuangalia mawazo ya watu mbalimbali humu JamiiForums, nimeona nianze hivi

    Kwa sasa huko morogoro kama nataka kuanza kulima nianze kwa kulima zao gani ukizingatia na hali ya hewa ambayo ipo huko sasa....mimi ndo kwanza nataka kuanza ila nimekatishwa tamaa na mtu ambaye yupo huko anasema hali ya hewa kwa sasa haiko vizuri kwa kulima..plz wadau msaada hapa..
  11. chuma_cha_pua

    Msaada...Routing number ya barclays

    Uummh..well hiyo kitu nimekutana nayo katika kuunga my visa card kwenye pay pal..kuna mahari wanahitaji routing number and account number..
  12. chuma_cha_pua

    Msaada...Routing number ya barclays

    Wadau msaada plz kwa anayejua routing number ya bank ya barclays hapa Tz.
  13. chuma_cha_pua

    Azania tawi la arusha biashara imewashinda

    Inawezekana unachosema kikawa na ukweli ila tatizo njia uliyotumia inaweza ikawa sio ya kisomi ila majungu ya mitaani...umejaribu kuwa face supervisors wake??maana hii ni rahisi sana yeye kujitetea na kusema "jamaa nimemchukulia demu wake ndo maana kaamua kuniandika jf" si unatujua wabongo...
  14. chuma_cha_pua

    Msaada simu yangu ya samsung note 2 haijaii chaji...

    Asanteni wadau...problem solved, tatzo ni charger kweli,
  15. chuma_cha_pua

    Msaada simu yangu ya samsung note 2 haijaii chaji...

    Jaman natanguliza shukrani kwa msaada, plz kama kuna mtu anajua ufumbuzi wa hili tatizo...maana ninachaji siku nzima lakini inaambulia kujaa 11% nkichaji via computer ndo kidogo inafika 42% na hapo imelala usiku mzima ndo inajaa hivyo, please help.
Back
Top Bottom