CRDB Bank na kinachoendelea?

CRDB Bank na kinachoendelea?

Issue ni kwamba ikianza kukorofisha hamna cha master card wala visa kufanya kazi. Zote zinakuwa hazifanyi kazi..ukienda kwenye ATM nyingine unapata error msg ya failure to connect to your bank..
I'm not talking about networking errors,I'm rather talks concerning service charges when using CRDB VISACARD through other banks ATMs,lazima zikukae akili jinsi unavyofyekwa.
Halafu kadi zenu za TEMBO MASTER CARD zilikuwa hazikubali kufanya kazi kwenye ATMs za benki nyingine ,vp mmeshatatua hii kero...!!??
 
Crdb ilishaoza, kila siku mtandao unasumbua, dalili za kufa hizi
 
Nenda Tpb bank ukaunganishwe na huduma ya Simu ya Tpb popote iko fast and reliable, na makato yake ni cheap,hakikisha unapata pia Atm zao ziko vzuri 24-7....sisumbukagi na maswala ya mtandao wala foleni ndefu.
 
Ni nini kimeisibu benk yetu hii pendwa,

Napenda kutoa angalizo kwa Benki Yetu iliyokuwa pendwa ya CRDB. Benki hii imejijengea mtandoa mpana na hata kwenye faida katika soko la banki nchini imekuwa ikifanya vizuri sana kwa takribana zaidi ya milongo miwili iliyopita.

Ila kilichosababisha niliete angalizo hili, ni kwa tabia ya hivi karibuni ambayo benk hii imekuwa ikipoteza network ya system zao za ATM and simbanking kwa muda mrefu na bila kutoa maelezo ya kinachoendelea. Kwa takriban mwezi mzima wa tano na Huu wa sita benki hii imekuwa ikipotea hewezani kiasi kwamba wateja wake wanashindwa kupata huduma zote za kibenki, hii inajumuisha huduma za ATM na SimBanking

Naomba wahusika wakisoma hapa watoe maelezo, maana kwa kadri siku zinanyoenda hii bank naona inaendelea kupotea kabisa kwenye kutoa huduma nzuri za kibenki.

Kwa mfano leo huduma ya Simbank na ATM hazipo hewani tangu saa saba mchana na hakuna majibu na sitegemei kama watatoa maelezo yoyote katika hili.

Jamani tubadilike CRDB
Inawezekana server yao imezidiwa. Cha kushangaza kwanini hawarekebishi hilo suala!!!!
 
Back
Top Bottom