naombaa msaada nilituma maombi ya kuvuta umeme tangu mwaka jana mwezi wa 11 na survey akaja akapima vzr ni mahali panaitaji nguzo moja lakini mpaka mwezi wa 5 mwaka huu nikarudishiwa form na survey akasema kwa sasa hakuna nguzo mpaka pale serikali itakapo tangaza tena nimebaki gizani mpaka sasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.