Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,540
- 88,485
Wapi wewe kelele nyingi tuMie tu ndio napenda
Wapi wewe kelele nyingi tuMie tu ndio napenda
Sasa kwani unawaza arif? Acha hizo mbanga we just having fun hapa jf... umesha catch feelings tatizo!Teh teh. Uzuri hayo ni maneno yako tu ambayo I don't give a hoot or two about.
Extrovert mbona kila kitu unajisemea wewe umekaza mimi mimi mimi. Hapa tunaongelea majority of tanzanian men.Mama mie nawapokea hata msio na matako! Utakula mema ya nchi ila njaa tu ndio sitaki! Kuna mademu wana mizinga mpaka unaeza pata kichaa!
Wapi wewe kelele nyingi tu
Ni kweli nilizonazo hazijafikia stage ya kuzigawa hovyo bado niko kwenye kutafuta. Isitoshe pia kuomba omba hela sio adabu njema morally.Extrovert mbona kila kitu unajisemea wewe umekaza mimi mimi mimi. Hapa tunaongelea majority of tanzanian men.
Halafu wewe inaonekana hauna pesa. I mean no offence ila comments zako nyingi huwa unalalamika kuhusu kuombwa hela.
Ohoo huyo ndiyo kamanda kikosi mama. Huyo nilijua tu lazima angetimba bila kutajwa nilikuwa namsubiria mida yake fulani hivi na kweli akaja akafunga na mjadala maana mtoa mada na yule mwenzie wa EDT wamekimbia.hivi nilisahauje kumtaja jamani
![]()
ASEE Huwez amini nimekesha ndan ya huu uzi![]()



naona ukapata hadi na muda wa kujibu comment moja mojaSasa subiri wanakamati wenzio waje sipati picha moto utakaowaka. Yaani wawepo makamanda Hannah, Jael, Amu, Dinazarde na Hornet uwii. Watu watakimbia uzi kama yule jamaa/binti aliyekuwa anakopi na kupesti Kimalkia kumbe kamati ipo inamwangalia tu. Nilipita nikiwa nimechoka yaani nimecheka leo mpaka basi. Hii kamati siyo lelemama aiseeOhoo huyo ndiyo kamanda kikosi mama. Huyo nilijua tu lazima angetimba bila kutajwa nilikuwa namsubiria mida yake fulani hivi na kweli akaja akafunga na mjadala maana mtoa mada na yule mwenzie wa EDT wamekimbia.




Sasa kwani unawaza arif? Acha hizo mbanga we just having fun hapa jf... umesha catch feelings tatizo!



we nakuelewa ni my frienemy since day one, won't and will never catch feelings to your jokes.Kelele siohaya bwana, kidogo changu kikubwa nabii daniel shiloh







shenzi mwili mzima, nakupiga sasa hivi.Ndiyo hawapendi wanawake waangalie pesa kwa wanaume ila wao wanaangalia sura na matako kwao. Shubaamit.Ni kweli nilizonazo hazijafikia stage ya kuzigawa hovyo bado niko kwenye kutafuta. Isitoshe pia kuomba omba hela sio adabu njema morally.
Kuhusu majority they don't like kuombwa hela hilo liko wazi.
Sasa subiri wanakamati wenzio waje sipati picha moto utakaowaka. Yaani wawepo makamanda Hannah, Jael, Amu, Dinazarde na Hornet uwii. Watu watakimbia uzi kama yule jamaa/binti aliyekuwa anakopi na kupesti Kimalkia kumbe kamati ipo inamwangalia tu. Nilipita nikiwa nimechoka yaani nimecheka leo mpaka basi. Hii kamati siyo lelemama aisee![]()



hii kamati iliundwa na umoja wa mataifa baada ya mkutano wa kule beijing, hatukuchaguliwa tu kama nyanya gengeni.Ohoo huyo ndiyo kamanda kikosi mama. Huyo nilijua tu lazima angetimba bila kutajwa nilikuwa namsubiria mida yake fulani hivi na kweli akaja akafunga na mjadala maana mtoa mada na yule mwenzie wa EDT wamekimbia.







ngoja tuwasubiri watarudi asubuhi maana huko waliko pengine walishalala na ni usiku wa mananeAu sio msemaji mkuuhii kamati iliundwa na umoja wa mataifa baada ya mkutano wa kule beijing, hatukuchaguliwa tu kama nyanya gengeni.






























Au umetongozwa na id fulani ukaikatalia akaja akakutongoza kwa id nyingine ukaikubalia. Siku ukija kugundua sijui utaambia nini watu.












Huko ni usiku? Hapa saa 9 alasiri.
Asante sana. Njozi njema mpendwa.










AiseeeYaani toka mchana tunae hapa.
Khaaaaaa
Yaani wasiokuwa na hela huu uzi wanapata tabu sana.
Huyu ndo dizaini wa wanaume hata 20,000 anataka uandike barua ya maombi na ipitie serikali ya mitaa.











We nae huna hela.
Kazana tu kutafuta.
Wanaume wenye hela hawawezi kuwepo hapa tokea mchana.












dah