Habari,mimi nina eneo ambalo kwa kipindi hiki cha mvua kwenye kona moja ukitembea unaona kama unatitia kiasi,nikamuuliza jirani akaniambia hali hiyo ni kwa juu tu,ukichimba ft 2 utakuta ardhi ngumu,jambo hili lina ukweli wowote au ndo nijipange kwa gharama kubwa kujenga msingi. Eneo lina mita 30...
Sasa hii tiss ya kwetu mbona inaonekana imekaa kichama zaidi au kwa ajili ya viongozi fulani fulani hivi,kuliko kujishughulisha na maslahi ya taifa la tanzania ndani ya nchi au popote yalipo duniani.
Nampongeza huyo mtumishi kwa kuwa muwazi kwa kiwango hicho,ni mfano wa kuigwa na watumishi wengine wawe wawazi pindi viongozi wanapotembelea maeneo yao ya kazi.
Huyo hakutakiwa hata kuwa mbunge kwa tiketi ya chadema,amejipambanua mno kuwa bado ana mapenzi ya dhati na ccm na hilo atalidhihirisha wakati ukifika 2015.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.