Fundi mahiri wa ujenzi
JF-Expert Member
- Dec 10, 2012
- 3,960
- 2,447
- Thread starter
- #421
Karibuni
Karibuni
Yani wala gharama a anadai kubwa sana misingi miwil vyumba 4 kila nyumba eti katumia tripu 43 za maweMkuu tafuta qualified engineer hakikisha akupe cv zake usiokote okote mafundi kwa kutaka mteremko mwisho wa siku garama zake zitakukosti zaidi unavyofikiri
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona hujaeleza ukubwa wa gari inayotumika?Yani wala gharama a anadai kubwa sana misingi miwil vyumba 4 kila nyumba eti katumia tripu 43 za mawe
Karibuni
Aina gani ya udongo?Habari,mimi nina eneo ambalo kwa kipindi hiki cha mvua kwenye kona moja ukitembea unaona kama unatitia kiasi,nikamuuliza jirani akaniambia hali hiyo ni kwa juu tu,ukichimba ft 2 utakuta ardhi ngumu,jambo hili lina ukweli wowote au ndo nijipange kwa gharama kubwa kujenga msingi. Eneo lina mita 30 kwa 30
Karibuni
Mkuu Nimekupata. Je, nihakuna mwana jf atakaenufaika kwa mm kuweka namba zangu? Je, Kuna mtu amekulazimisha kutumia namba yangu?
Kuhusu kumalizia hizo sababu zilizosalia nitamalizia soon boss wangu si unajua sisi wachezea tope tunavyokuwa na mda finyu wa kukaa nyuma ya keyboard!